Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHINE HATARI YATUA YANGA

Khadija Mngwai na Hans Mloli KUMEKUCHA Jangwani! Huenda ukawa ni mwaka mwingine wa neema Yanga kutokana na kikosi hicho kusukwa vizuri kwa ajili ya mashindano. Kwa taarifa ni kwamba yule straika msumbufu kwa mabeki, Donald Ngoma, raia wa Zimbabwe, anatarajiwa kutua Yanga wakati wowote ndani ya wiki hii kwa ajili ya kumalizana na timu hiyo. Hayo yote yamekuja baada ya TFF kupitisha idadi ya wachezaji saba wa kigeni na Yanga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA YATUA PEMBA

Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya mazoezi (Picha na Maktaba). Msafara wa watu 35 ukiwa na wachezaji 27 na benchi la Ufundi 8 wa timu ya Young Africans tayari umeshawasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kujiandaa na mikikimikiki ya Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2014/2015. Kocha mkuuu Marcio Maximo na kikosi chake wamefikia katika hoteli ya kitalii ya Pemba Misali iliyopo eneo la Wesha na watakua wakijifua kwa...

 

10 years ago

GPL

Yanga yatua kwa Wawa

Beki wa Azam, Paschal Serge Wawa. Waandishi Wetu, Dar es Salaam
AMA kweli sasa Yanga imeamua kufanya yake bila ya kumuangalia mtu usoni baada ya kugonga hodi Azam FC na kuulizia huduma ya beki wake wa kati mwenye kila sifa ya kumudu majukumu yake uwanjani na roho ya ulinzi ya timu hiyo, Muivorycoast, Paschal Serge Wawa. Yanga imefikia hatua hiyo baada ya kuwepo kwa shinikizo la kocha mkuu wa timu hiyo, Mdachi, Hans van Der...

 

11 years ago

GPL

YANGA YATUA JIJINI DAR ES SALAAM

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania Bara, Yanga wameshawasili salama jijini Dar es salaam wakitokea jijini Antalya nchini Uturuki walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

11 years ago

GPL

Yanga noma, yatua kwa ndugu wa Adebayor

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
KATIKA kuhakikisha wanafanya usajili bora, benchi la ufundi la Yanga likiongozwa na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, limepanga kutua nchini Togo kwa ajili ya kusajili wachezaji. Yanga itatua Togo kwa nia ya kusajili katika nchi ambayo ndipo anatoka Emmanuel Adebayor, straika wa Tottenham ambaye aliwahi kuzichezea Arsenal na...

 

11 years ago

GPL

Yanga yatua Cairo, yakataa basi la Al Ahly

Na Saleh Ally, Cairo
ILIKUWA ni kama filamu mara tu baada ya Yanga kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cairo jijini hapa, mambo yakawa kama kuna mkutano wa siasa. Idadi kubwa ya waandishi wa habari ilikuwa uwanjani hapo wakitaka kujua kila jambo, lakini Yanga pia wakakataa basi walilokuwa wameletewa na wenyeji wao Al Ahly na kupanda lile lililoandaliwa na ubalozi wa Tanzania nchini hapa. Ndege ya Egypt Air iliwasili saa...

 

11 years ago

GPL

Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana

Athumani Idd ‘Chuji’. Musa Mateja na Khadija Mngwai
WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajiwa kuwasili nchini leo alfajiri kutoka Uturuki kilipokuwa kimeweka kambi kwa muda wa wiki mbili, sakata la kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’ limeonekana kutozingatiwa ambapo hakuna anayefuatilia juu ya adhabu yake. Chuji alisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu, hakwenda Uturuki...

 

10 years ago

Vijimambo

MUUAJI WA YANGA: OLUNGA, NI HATARI...


Yanga imepoteza kwa bao 2-1 katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Kagame.Gor Mahia, mabingwa wa Kenya ndiyo walioibuka na ushindi katika mchezo huo mtamu uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 katika kipindi cha kwanza.
Lakini Gor Mahia wakazidi kutamba katika kipindi cha pili kwa kupata bao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wake Michael Olunga.Olunga aliyekuwa akiisumbua ngome ya Yanga tokea kipindi cha kwanza alifunga bao hilo baada ya kuwatoka Kelvin Yondani na Mbuyu Twite.
Yanga walitangulia...

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA HII NI TAMU HATARI. .


HEBU CHEKI HII:-*Tumecheza michezo 5,Tumeshinda yote.*Tumefunga magoli 13,Tumefungwa goli 1.*Tunaongoza ligi toka ligi ilipoanza.*Timu yetu ndio ina safu kali ya kupachika mabao.*Timu yetu ndio ina safu ngumu ya ulinzi.*Timu mbili za juu kati ya 3 tumeshazifunga.
WACHEZAJI:-*Amiss Tambwe kafunga magoli 4.*Donald Ngoma kafunga magoli 4.*Malimi Busungu kafunga magoli 2.*Ally Mustafa hadi sasa ndie kipa bora.*Kamusoko,Twite na Msuva wamefunga goli moja kila mmoja.*Kiwango cha Kelvin Yondani...

 

10 years ago

GPL

Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda. Na Waandishi Wetu
UNAWEZA kusema ni umafia umefanyika baada ya mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda, kujiunga na Yanga akitokea Polisi Morogoro. Mrwanda alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuwatumikia vijana hao wa Jangwani, juzi jioni na jana alifanya maajabu kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam. Awali,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani