MASHINE HATARI YATUA YANGA
![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaLbINVWY0rn4NQLlFLxI*6f0jzj-114*7nNmoVVxHWL5BsHLTzw75n-qlDHwJH9uHzFgTdtPKYBgPcN0Bw4CqqV/1.jpg?width=650)
Khadija Mngwai na Hans Mloli KUMEKUCHA Jangwani! Huenda ukawa ni mwaka mwingine wa neema Yanga kutokana na kikosi hicho kusukwa vizuri kwa ajili ya mashindano. Kwa taarifa ni kwamba yule straika msumbufu kwa mabeki, Donald Ngoma, raia wa Zimbabwe, anatarajiwa kutua Yanga wakati wowote ndani ya wiki hii kwa ajili ya kumalizana na timu hiyo. Hayo yote yamekuja baada ya TFF kupitisha idadi ya wachezaji saba wa kigeni na Yanga...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjX7-RCaOoJBTWmX2j8t4F*mEMY7e0iQTpqc-eJk1Vn6lPHg3Y*9BpF4Y5EHx6Kts54zHw7b0sydkW-jhHHBV7IU/yanga.jpg?width=650)
YANGA YATUA PEMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuB-mBJ*MZfEAQyxLZNZewryRoeKVpDCxJjWNng16SEbXmVvKjaqu9Nz9jWrdqtz4DxQAXorRUjcMVX*BZlXHYDt/okpkl.gif?width=650)
Yanga yatua kwa Wawa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVcr7FqTDe9NFmSlJqmffeyY22I0Y6HnmanmsTbtUAbBT1DTkmxeJhpUGBdg201oZLyOnk3E3mYIH2XsCGFpwJGh/1654402_252029988292351_1987865869_n.jpg?width=650)
YANGA YATUA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSIEczhAg73wJQDyGGYfq6Jewza7PfKfwvqZDQk7gNbxH8Rc2x42zNXwG3gYzHtRZHtaZOAJEvG2ZFTcBa1RJ8uT/12.gif?width=650)
Yanga noma, yatua kwa ndugu wa Adebayor
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0YkNJBR1UmFJXam5TmMFlr4t2RIWRj87rMOhaWo1isVl3wrm4fMOHM5tc*W6RzCGoS6B2MOq4oMPkjaNDoRzFVXr/yanga.jpg?width=650)
Yanga yatua Cairo, yakataa basi la Al Ahly
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVdDkfuN9lynwpZ5YNuCZE8Lqq3kE91uSWAE8GfpuqZ-tXvdgl4Tb5Yb6wkXnN-cFyhBcrsgrxpKMquZG5M5-7jE/MASIKINICHUJI.jpg?width=650)
Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aLQvu8fDSko/Vappzm25o6I/AAAAAAABPAI/hC4L-V1bOuQ/s72-c/Image_AI0E1531_0.jpg)
MUUAJI WA YANGA: OLUNGA, NI HATARI...
![](http://3.bp.blogspot.com/-aLQvu8fDSko/Vappzm25o6I/AAAAAAABPAI/hC4L-V1bOuQ/s640/Image_AI0E1531_0.jpg)
Yanga imepoteza kwa bao 2-1 katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Kagame.Gor Mahia, mabingwa wa Kenya ndiyo walioibuka na ushindi katika mchezo huo mtamu uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 katika kipindi cha kwanza.
Lakini Gor Mahia wakazidi kutamba katika kipindi cha pili kwa kupata bao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wake Michael Olunga.Olunga aliyekuwa akiisumbua ngome ya Yanga tokea kipindi cha kwanza alifunga bao hilo baada ya kuwatoka Kelvin Yondani na Mbuyu Twite.
Yanga walitangulia...
9 years ago
Vijimambo03 Oct
YANGA HII NI TAMU HATARI. .
![](https://fbcdn-photos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-0/s526x296/12039557_1005171819525351_4875535068220800723_n.jpg?oh=1e22046cf478c4daec4f2b70d77597ff&oe=56A8BD35&__gda__=1452269470_885e316e8dfa02f2966642c878c00d3a)
HEBU CHEKI HII:-*Tumecheza michezo 5,Tumeshinda yote.*Tumefunga magoli 13,Tumefungwa goli 1.*Tunaongoza ligi toka ligi ilipoanza.*Timu yetu ndio ina safu kali ya kupachika mabao.*Timu yetu ndio ina safu ngumu ya ulinzi.*Timu mbili za juu kati ya 3 tumeshazifunga.
WACHEZAJI:-*Amiss Tambwe kafunga magoli 4.*Donald Ngoma kafunga magoli 4.*Malimi Busungu kafunga magoli 2.*Ally Mustafa hadi sasa ndie kipa bora.*Kamusoko,Twite na Msuva wamefunga goli moja kila mmoja.*Kiwango cha Kelvin Yondani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXmeIACEcj0LXe5NNeKBIEIyAaFjJWchfTWpuRg8J-WB7KDaH8VB8UAfZcyY7zkJOhCxDJtzMLiKJk7i9TbW9fZ/sensuality1.jpg?width=650)
Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari