Yanga yatua Cairo, yakataa basi la Al Ahly

Na Saleh Ally, Cairo ILIKUWA ni kama filamu mara tu baada ya Yanga kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cairo jijini hapa, mambo yakawa kama kuna mkutano wa siasa. Idadi kubwa ya waandishi wa habari ilikuwa uwanjani hapo wakitaka kujua kila jambo, lakini Yanga pia wakakataa basi walilokuwa wameletewa na wenyeji wao Al Ahly na kupanda lile lililoandaliwa na ubalozi wa Tanzania nchini hapa. Ndege ya Egypt Air iliwasili saa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Mashushushu Al Ahly wawapeleka Ngassa, Kiiza Cairo
11 years ago
TheCitizen04 Mar
Yanga: Security crucial in Cairo
11 years ago
GPL
YANGA YATUA PEMBA
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Kila la heri Yanga Cairo, msiyumbishwe na fitnaÂ
TIMU ya Yanga kwa sasa ipo jijini Cairo, Misri tayari kwa mechi ya marudiano katika raundi ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Hongera Yanga, kibarua kizito chawasubiri Cairo
TIMU ya soka ya Yanga ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, mwishoni mwa wiki walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi wa Ligi ya...
10 years ago
GPL
Yanga yatua kwa Wawa
10 years ago
GPL
MASHINE HATARI YATUA YANGA
11 years ago
GPL
YANGA YATUA JIJINI DAR ES SALAAM