Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashushushu Al Ahly wawapeleka Ngassa, Kiiza Cairo

Kutoka kulia Hamisi Kiiza na Mrisho Ngassa katikati. Na Mwandishi Wetu
PAMOJA na juhudi za uongozi wa Yanga kupambana na mashushushu wa Al Ahly wasifanye kazi yao, lakini imeshindikana kwani wamefanikiwa kutuma majina ya Mrisho Ngassa na Hamisi Kiiza. Machi Mosi, Yanga ina asilimia 80 kuwa itavaana na Al Ahly ya Misri kwa kuwa imeshinda mechi yake ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Komorozine ya Comoro kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga yatua Cairo, yakataa basi la Al Ahly

Na Saleh Ally, Cairo
ILIKUWA ni kama filamu mara tu baada ya Yanga kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cairo jijini hapa, mambo yakawa kama kuna mkutano wa siasa. Idadi kubwa ya waandishi wa habari ilikuwa uwanjani hapo wakitaka kujua kila jambo, lakini Yanga pia wakakataa basi walilokuwa wameletewa na wenyeji wao Al Ahly na kupanda lile lililoandaliwa na ubalozi wa Tanzania nchini hapa. Ndege ya Egypt Air iliwasili saa...

 

11 years ago

TheCitizen

Al Ahly wary of Ngassa, plot to keep him quiet

>Young Africans winger Mrisho Ngassa will receive special attention tomorrow when they host Al-Ahly in the first leg of the CAF Champions League.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi

Kocha wa Mabingwa wa Soka Afrika, Al Ahly, Mohamed Youssef amesema kati ya wachezaji anaowatilia shaka na ana hofu nao katika mechi ya marudiano Jumapili itakayochezwa saa mbili kamili kwa saa za hapa nchini ni Mrisho Ngasa, Hamis Kiiza na Didier Kavumbagu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gaza yajadiliwa Cairo

Ujumbe wa Palestina katika mazungumzo ya amani, umesema usitishaji mapigano Gaza unaweza kuendelea kwa siku tano zaidi.

 

11 years ago

GPL

MKWASA AFANYA UMAFIA CAIRO

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa akiwaongoza wachezaji wake katika mazoezi. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, amefanya umafia na kufanikiwa kuingia kuiona Al Ahly ikipambana na CS Sfaxien ya Tunisia kwenye Uwanja wa Jeshi jijini Cairo, Misri. Mechi hiyo ya jana ilikuwa ni ya Kombe la Super Cup na ilimkutanisha Al Ahly, bingwa wa Ligi ya Mabingwa na Sfaxien, bingwa wa Kombe la...

 

10 years ago

BBC

Canada closes embassy in Cairo

The Canadian embassy in Cairo is closed due to "security concerns", a day after Britain shut its mission in the Egyptian capital.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yaitikisa Cairo

Mabomu mawili yamelipuka karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo katika daraja linalopita juu ya kizuizi cha polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani