NDEGE YA UTAFITI YATUA KILIMANJARO
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio akuzungumza mbele ya waandishi wa habari kuhusu ujio wa ndege ya pili ya utafiti wa awali wa mafuta na gesi asilia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwishoni mwa wiki, ndege hiyo inatarajia kuanza utafiti wiki hii katika kitalu cha Eyasi Wembere na Mandawa.
Mkurugenzi Mtendaji TPDC Dkt. James Mataragio akipatiwa maelekezo ya jinsi ndege hiyo inavyofanya kazi (ndani ya ndege)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Ndege yatua barabarani Uganda
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...
10 years ago
VijimamboNDEGE YA AL-SALAAM YATUA PEMBA KWA DHARURA
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Ndege yatua mhudumu akilala ndani ya Shehena
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Ndege ya Ufaransa yatua kwa dharura Mombasa kuhofia bomu
Ndege ya Air France ikiwa imetua
Mombasa, Kenya
Ndege kubwa ya abiria, Boeing 777 AF463, mali ya Shirika la Ndege la Ufaransa (Air France) iliyokuwa ikitokea Visiwa vya Mauritius kuelekea Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, Paris, Ufaransa, imelazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Mombasa baada ya kuhofiwa kuwa ndani yake kulikuwa na bomu.
Taarifa kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, Jenerali Joseph Boinnet kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, imeeleza kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s72-c/unnamed1.jpg)
ndege nyingine ya atc yatua dar es salaam, kuanza kazi kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-qjoUUPoJEUE/UxnBgMh0HaI/AAAAAAAFRvQ/1YBh-_nsaoY/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bX92PpgbVI/UxnBgGsMjkI/AAAAAAAFRvM/k6L5IkF5Eeo/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Jun
Ndege zinazoranda Ileje ni za utafiti - Mwakyembe
SERIKALI imejiridhisha kuwa ndege zinazoonekana katika anga mpakani mwa Tanzania na Malawi, kwenye maeneo ya wilaya za Ileje na Kyela hazina madhara ni maalumu kwa utafiti.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YR6FiGa6AzU/XsfLU6KlooI/AAAAAAALrQ4/UByodZr0zrMxHYtaNVOJsUie8jNZHeRngCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
NDEGE YATUA MWANZA KUBEBA SAMAKI, MHANDISI STELLA MAYANYA ATANGAZA SOKO LA SAMAKI WA KANDA YA ZIWA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YR6FiGa6AzU/XsfLU6KlooI/AAAAAAALrQ4/UByodZr0zrMxHYtaNVOJsUie8jNZHeRngCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c9DJ_EiQfoA/XsfLVuh0ptI/AAAAAAALrRA/Trpv4svClRsx2-T5cvU1GdQlH1F_ll4JQCLcBGAsYHQ/s640/4...jpg)
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Mhandisi Stella M. Manyanya{kulia} akikagua uandaaji wa mizigo ya minofu ya samaki ya kilogram 17,262 zenye thamani ya Tsh. 191,874,837.78 iliyopelekwa ndege ya Ethiopia Airlines...