Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege zinazoranda Ileje ni za utafiti - Mwakyembe

SERIKALI imejiridhisha kuwa ndege zinazoonekana katika anga mpakani mwa Tanzania na Malawi, kwenye maeneo ya wilaya za Ileje na Kyela hazina madhara ni maalumu kwa utafiti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ndege ya Malawi yazua hofu Ileje

MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM) ameomba Serikali ieleze juu ya ndege kutoka Malawi, ambayo imekuwa ikitia hofu wananchi wa Ileje, kwa kuzunguka angani kila mara.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwakyembe atema 13 uwanja wa ndege

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameamuru watumishi 13 kuondolewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kuanzia jana saa 6:00 mchana kutokana na tuhuma mbalimbali, hasa za usumbufu wa wasafiri kutoka nje.

 

9 years ago

Michuzi

NDEGE YA UTAFITI YATUA KILIMANJARO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio akuzungumza mbele ya waandishi wa habari kuhusu ujio wa ndege ya pili ya utafiti wa awali wa mafuta na gesi asilia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwishoni mwa wiki, ndege hiyo inatarajia kuanza utafiti wiki hii katika kitalu cha Eyasi Wembere na Mandawa. Mkurugenzi Mtendaji TPDC Dkt. James Mataragio akipatiwa maelekezo ya jinsi ndege hiyo inavyofanya kazi (ndani ya ndege)...

 

9 years ago

Michuzi

TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio akuzungumza na waandishi wa habari (hapo pichani) kuhusu ujio wa ndege ya utafiti wa awali wa mafuta na gesi asilia kwa kutumia ndege katika Kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini, Mkurugenzi wa undelezaji wa mafuta na gesi asilia Dkt. Wellngton Hudson (kulia) mkutano huo ulifanyika makao makuu ya TPDC mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Waandishi wa vyombo mbali mbali vya habari wakimsikiliza...

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mzee akatwa ‘nyeti’ Ileje

Mkazi wa Kijiji Mapogolo wilayani Ileje, London Haonga (61), amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya watu wanaodaiwa kuwa watatu kumkata sehemu za siri usiku wa kuamkia juzi.

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt Shaaban Mwinjaka, akiteta jambo na Balozi wa Nchi za Falme za Kiarabu(United Arab Emirate) nchini Tanzania, Balozi Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, kabla ya Uzinduzi wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana. Magari ya Zimamoto yakimwaga maji kuashiria uzinduzi na ukaribisho wa Safari za Ndege ya Shirika la Ndege la Etihad la Nchini Abu Dhabi, leo mchana katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi Ileje kukosa masomo kwa siku 21

Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Sita katika Shule ya Sekondari Ileje, iliyopo Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya, wamelazimika kupewa likizo ya lazima kwa muda wa siku 21, baada ya kuonekana kuhatarisha usalama na uvunjifu wa amani shuleni hapo kufuatia fujo zilizosababishwa na baadhi ya wanafunzi hao.

 

10 years ago

Michuzi

MH JANETH MBENE AJITOSA KUWANIA JIMBO LA ILEJE

  Naibu waziri wa Viwanda na biashara na mgombea ubunge wa jimbo la ileje mkoani Songwe, Janet Mbene akisalimiana na vijana waliotokea kumlaki katika kata ya isoko walayani hapo.   Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akipokea zawadi ya ungo kutoka kwa mwakilishi wa wasuka ungo wa bundali. Picha na Humphrey Shao. Naibu waziri wa  Viwanda na biashara na mgombea Ubunge katika jimbo la Ileje mkoa wa Songwe,Janet Mbene akitembea huku mamia ya watu wakimfuta nyuma mara baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani