WAZIRI HASUNGA AIAGIZA NFRA KUHIFADHI CHAKULA KINACHONUNULIWA KWENYE VIHENGE VIPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mFpNhdgjyCk/Xrjl-DR6gyI/AAAAAAALpuM/V7kLi1Jp5bsknaLu7lUDymGiDhPlL2XIwCLcBGAsYHQ/s72-c/1cd43f7e-3376-4a69-99f1-5e86a98cf8da.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Kilimo Japhet Hasunga amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Milton Lupa kuhakikisha chakula kinachonunuliwa Kanda ya Arusha kinahifadhiwa kwenye vihenge vipya.
Maagizo hayo ameyatoa wilayani Babati, Manyara alipofanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa maghala mapya na vihenge vya kisasa ambavyo vimekamilika kwa asilimia 94.
Waziri Hasunga ameiagiza NFRA kuhakikisha inanunua mazao mchanganyiko katika msimu huu na siyo kununua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ddjFHOQSHzg/XqgTlWG7yYI/AAAAAAALoec/bUbGDmNEI3spPqC9DGCtsCLMuEU1h4P1QCLcBGAsYHQ/s72-c/46b59ac7-0a79-4093-a5db-7b823e33944b.jpg)
WAZIRI HASUNGA AITAKA NFRA KUJIENDESHA KIBIASHARA NA KUTAFUTA MASOKO NJE YA NCHI
Charles James, Michuzi TV
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuhakikisha unajiendesha kibiashara pamoja na kutoa huduma bora kwa watanzania.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga leo jijini Dodoma alipokua akizindua Bodi ya Ushauri ya NFRA ambapo ameutaka wakala huo kufanya manunuzi kipindi hiki cha mavuno.
Ameutaka wakala huo kufanya manunuzi ya mazao kwa ajili ya kuhifadhi kama akiba kwenye maghala ya serikali lakini pia kwa ajili ya biashara kwa kutafuta...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AIAGIZA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI KUANISIHA NA KUTOA TAKWIMU SAHIHI ZA ENEO LA UMWAGILIAJI NCHINI
11 years ago
Habarileo29 Apr
NFRA yaongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wameongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka kutoka tani 241,000 za sasa hadi tani 400,000 mwaka 2016.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ddjFHOQSHzg/XqgTlWG7yYI/AAAAAAALoec/bUbGDmNEI3spPqC9DGCtsCLMuEU1h4P1QCLcBGAsYHQ/s72-c/46b59ac7-0a79-4093-a5db-7b823e33944b.jpg)
HASUNGA AITAKA NFRA KUJIENDESHA KIBIASHARA, KUTAFUTA MASOKO NJE YA NCHI
Charles James, Michuzi TV
WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuhakikisha unajiendesha kibiashara pamoja na kutoa huduma bora kwa watanzania.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Joseph Hasunga leo jijini Dodoma alipokua akizindua Bodi ya Ushauri ya NFRA ambapo ameutaka wakala huo kufanya manunuzi kipindi hiki cha mavuno.
Ameutaka wakala huo kufanya manunuzi ya mazao kwa ajili ya kuhifadhi kama akiba kwenye maghala ya serikali lakini pia kwa ajili ya biashara kwa...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.
Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI I
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.
Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
WAZIRI HASUNGA AFUNGUA MAONESHO YA KILIMO BIASHARA 2020 TARI ILONGA, AGUSWA NA KASI YA TEKNOLOJIA KWENYE KITUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Taifa, Dk. Yohana Budeba, alipowasili kufungua Maonesho ya Kilimo Biashara 2020 yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Majambaa Kata ya Msowero, Kilosa mkoani Morogoro jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dk. Geofrey Mkamilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylq0sqxzIGI/XurQufs8s0I/AAAAAAAAlJw/vKWfdpGP7-gnbGvx6p3ZlkHWY4gjvFieACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h24m36s448.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AITAKA IDARA YA SERA NA MIPANGO KUANISHA KIASI GANI CHA FEDHA KILICHOWEKEZWA KWENYE KILIMO
5 years ago
MichuziWizara ya Kilimo Lazima Tuongeze Tija na Uzalishaji Ili Kuipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa Viwanda – Waziri Hasunga
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo pamoja na Idara na Vitengo vya Wizara ya Kilimo uliofanyika Leo Tarehe 7 Machi 2020 Jijini Dodoma. Wengine Pichani ni Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)
Sehemu ya Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na...