Wizara ya Kilimo Lazima Tuongeze Tija na Uzalishaji Ili Kuipeleka Tanzania kwenye Uchumi wa Viwanda – Waziri Hasunga
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Kilimo pamoja na Idara na Vitengo vya Wizara ya Kilimo uliofanyika Leo Tarehe 7 Machi 2020 Jijini Dodoma. Wengine Pichani ni Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Musabila Kusaya. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)
Sehemu ya Wenyeviti, Wakuu wa Bodi za Mazao, na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AITAKA TARI KUFANYA TAFITI ZINAZOLENGA KUONGEZA TIJA NA UZALISHAJI NA KUHAMASISHA MATUMIZI YA PEMBEJEO ZA KILIMO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3QLJEEaDFG8/Xtqa8EZv40I/AAAAAAALsx4/4Fa1cYJOlXk4wI_J1xvFnxJU0neMcTP-gCLcBGAsYHQ/s72-c/WAZIRI-KILIMO-2048x1365.jpg)
WIZARA IHAKIKISHE KILIMO KINASIMAMIWA KIKAMILIFU-WAZIRI HASUNGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3QLJEEaDFG8/Xtqa8EZv40I/AAAAAAALsx4/4Fa1cYJOlXk4wI_J1xvFnxJU0neMcTP-gCLcBGAsYHQ/s640/WAZIRI-KILIMO-2048x1365.jpg)
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akiongea na Menejimenti ya Wizara kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kilimo IV Wizarani hapo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/WAZIRI-NEW.jpg)
5 years ago
MichuziTunapaswa kujivunia kwa kuongeza eneo la uzalishaji wa mbegu, miche bora pamoja usajili wa Wakulima na watoa huduma za kilimo – Waziri Hasunga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6nxr3mhY4ZE/XneROqz0QAI/AAAAAAALkvw/3iIx9O0G2AQ1i7idydFe2AS5hGLOCv3JwCLcBGAsYHQ/s72-c/CNT_0904.jpg)
WAZIRI HASUNGA AFUTA MIKUTANO YOTE YA WADAU WA KILIMO ILIYOPANGWA KUFANYIKA MWEZI MACHI NA APRILI 2020 ILI KUJIEPUSHA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6nxr3mhY4ZE/XneROqz0QAI/AAAAAAALkvw/3iIx9O0G2AQ1i7idydFe2AS5hGLOCv3JwCLcBGAsYHQ/s640/CNT_0904.jpg)
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akitoa taarifa ya kufuta mikutano ya wadau wa kilimo wakati akizungumza Ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 22 Machi 2020.
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Kutokana na kuwepo kwa ugonjwa wa homa kali ya mapafu ujulikanao kama corona Wizara ya Kilimo imeamua kufuta mikutano yote ya wadau wa mazao ya kilimo iliyopangwa kufanyika kati ya mwezi Machi na Aprili, 2020 hadi hapo baadae maelekezo yatakapotolewa na kuziagiza Bodi za mazao na Taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
WAZIRI HASUNGA AFUNGUA MAONESHO YA KILIMO BIASHARA 2020 TARI ILONGA, AGUSWA NA KASI YA TEKNOLOJIA KWENYE KITUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-or0u4wm7NKQ/XurQp1GCCbI/AAAAAAAAlJs/D0cs6Ges5Gs75u7x3mxTesRSpVLBNJfewCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h23m09s639.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Taifa, Dk. Yohana Budeba, alipowasili kufungua Maonesho ya Kilimo Biashara 2020 yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Majambaa Kata ya Msowero, Kilosa mkoani Morogoro jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) Dk. Geofrey Mkamilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylq0sqxzIGI/XurQufs8s0I/AAAAAAAAlJw/vKWfdpGP7-gnbGvx6p3ZlkHWY4gjvFieACLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-06-18-04h24m36s448.png)
Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga, akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kilimo TARI Ilonga, Dk.Joel Meliyo...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AITAKA IDARA YA SERA NA MIPANGO KUANISHA KIASI GANI CHA FEDHA KILICHOWEKEZWA KWENYE KILIMO
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI UFUNGAMANISHAJI SEKTA YA KILIMO NA MIKAKATI YA KUTAFUTA MASOKO
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA-UZALISHAJI WA KAHAWA WAONGEZEKA WAFIKIA TANI 214,962
Waziri wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
WAZIRI wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema kuwa katika kipindi cha Serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Magufuli zao la Kahawa limeweza kufikia uzalishaji wa tani 214,962 .
Ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumzia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya Kahawa katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano na kusema kuwa kwa wastani kila mwaka imekuwa ikizalisha tani 51,777 ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10