'Tanzania ina nafaka za kutosha'
TANZANIA ina hifadhi ya kutosha ya chakula cha mazao ya nafaka, kinachofikia tani 244,830. Chakula hicho kilichohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula nchini (NFRA).
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania