Matokeo chanjo ya Ukimwi leo
MATOKEO ya utafiti wa chanjo ya ugonjwa wa Ukimwi na magonjwa yasiyoambukiza nchini, yatatolewa katika kongamano la kisayansi linaloanza leo jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo la siku mbili lenye kaulimbiu ya ‘Utafiti wa Afya, Mafunzo na Ubunifu kwa Maendeleo Endelevu’, limeandaliwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Aug
MKUTANO WA UKIMWI 2014: ARV zinaweza kuangamiza VVU duniani bila haja ya dawa, chanjo
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s72-c/2hpv2708.jpg)
WANAHABARI WAPATIWA ELIMU YA UELEWA WA CHANJO YA SARATANI YA HPV PAMOJA NA CHANJO NYINGINE KWA NJIA YA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-2qZMU9Xcdfk/XsFQK4Y0sDI/AAAAAAALqlY/c02FLUAQhFIc9M1u9HtZ9-6vkqpNVK2aACLcBGAsYHQ/s640/2hpv2708.jpg)
Semina hiyo ya siku moja ya uelewa wa Chanjo ya kukinga ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi (HPV Vaccine) ambayo hutolewa bila malipo kwa wasichana wa miaka 14 hapa nchini iliendeshwa mubashara kupitia mtandao wa ZOOM.
Awali akiwasilisha mada maalumu ya chanjo hiyo ya HPV, Afisa Mradi, Mpango wa Taifa wa...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Kampeni ya chanjo dhidi ya surua, rubella kuzinduliwa leo
KAMPENI ya chanjo dhidi ya ugonjwa surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miaka 15 inatarajia kuzinduliwa leo. Katika kampeni hiyo itakayodumu kwa siku saba, watoto...
10 years ago
CloudsFM01 Dec
LEO NI SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Nchini mwetu, ugonjwa huo uliogundulika kwa mara ya kwanza mwaka 1981 mkoani Kagera, umesambaa katika mikoa yote, umekuwa sababu ya maafa mengi makubwa kwenye jamii ambako mbali ya vifo, umetuachia yatima, wajane na wagane.
Takwimu zinazotolewa zinaonyesha kuwa maambukizi mapya yamekuwa yakipungua kwa kiasi kikubwa, ingawa hali halisi ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzD7-kwIPgg/XsPLZtWGCiI/AAAAAAALqw0/vjBiZMmJWdYjQBkt5Jsa9OxtJmNN6dQVACLcBGAsYHQ/s72-c/9fcab2c6-8c9d-40fe-b2bd-70fec1ca132d.jpg)
LICHA YA JANGA LA CORONA, HUDUMA ZA CHANJO NA UFUATILIAJI WA MAGONJWA YANAYOZUILIKA KWA CHANJO ZAENDELEA KWA UANGALIFU MKUBWA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZzD7-kwIPgg/XsPLZtWGCiI/AAAAAAALqw0/vjBiZMmJWdYjQBkt5Jsa9OxtJmNN6dQVACLcBGAsYHQ/s640/9fcab2c6-8c9d-40fe-b2bd-70fec1ca132d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/c755576d-f501-423f-9aed-c746dc135fad.jpg)
Ofisa Mradi wa Ofisi ya Mpango wa Taifa wa Chanjo, Richard Magodi akipitia data za chanjo kwenye mfumo maalumu wa kieletroniki wakati wa ziara maalum ya muongozo wa kujikinga na COVID19 kwa watoa huduma za chanjo...
10 years ago
MichuziMABANGO YA KUELIMISHA UKIMWI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ehbzqjH5NX8/VTEEWJI4g4I/AAAAAAAAaDA/NlaqOE90P0E/s72-c/IMG_1654.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA TUME YA UKIMWI AZIKWA LEO ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-ehbzqjH5NX8/VTEEWJI4g4I/AAAAAAAAaDA/NlaqOE90P0E/s1600/IMG_1654.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dWUjhQdDrDU/VTEEzuzxjOI/AAAAAAAAaDQ/RT-MEw2rvoU/s1600/IMG_1687.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Matokeo ya uchaguzi Malawi leo
Tume ya uchaguzi ya Malawi imesema itatangaza matokeo ya uchaguzi leo. Uamuzi huo unakuja baada ya mivutano na mapingamizi kadhaa kwenye mahakama kuu nchini humo. Taarifa kutoka nchini humo zimesema...