KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA TUME YA UKIMWI AZIKWA LEO ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-ehbzqjH5NX8/VTEEWJI4g4I/AAAAAAAAaDA/NlaqOE90P0E/s72-c/IMG_1654.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia akijumuika na Viongozi na Waislamu mbali mbali katika kumswalia aliyekuwa katibu Mkuu Wizara ya Afya na Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Ukimwi Zanzibar Marehemu Dkt.Omar Makame Shauri katika Msikiti wa Kidombo Wilaya ya Kaskazini A Unguja kabla ya mazishi yake leo,[Picha na Ikulu.]
Baadhi ya wananchi na Waumini wa Dini ya Kiislamu wakilibeba jeneza la aliyekuwa katibu Mkuu Wizara ya Afya na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-RG4Vhd_Z8W4/VIVsJOQXDAI/AAAAAAAG17M/d60WBBk--QM/s1600/IMG_7729.jpg?width=650)
DKT. SHEIN AWAAPISHA KAIMU JAJI MKUU NA NAIBU KATIBU MKUU AFYA ZANZIBAR LEO
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
11 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Kikwete amuapisha Balozi mpya wa Tanzania Urusi, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango leo
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 15, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi makabrasha baada ya kumuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Paul Thomas Sangawe kuwa Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gIVlifSpd8I/VafklLcnB8I/AAAAAAAHqHk/5DuUpv4LC2U/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA RASMI MKUTANO MKUU WA TATU WA TPS SACCOS Ltd LEO, MKOANI MOROGORO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkrARHvgfeU/XtfkdeLBeCI/AAAAAAALsig/kxvC5meI7pMzeBo3XF089lWN6lIwPWo-gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B20.55.36.png)
11 years ago
GPLNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLqG91Cwg8/VfivcIpGJTI/AAAAAAAH5KU/neVAGQCUJ_4/s72-c/aaz.png)
JK amteua Casmir Kyuki kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLqG91Cwg8/VfivcIpGJTI/AAAAAAAH5KU/neVAGQCUJ_4/s640/aaz.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Casmir Kyuki kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria.
Kabla ya uteuzi huu, ndugu Kyuki alikuwa Mwandishi Kufuatia uteuzi huu, Rais amemteua Bibi Sarah Barahomoka kuwa Mwandishi Mkuu wa Sheria, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na ndugu Kyuki.Kabla ya uteuzi huu, Bibi Barahomoka alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya uandishi wa Sheria. Uteuzi huu unaanza mara moja.
Wateule hawa...
10 years ago
Vijimambo16 Apr
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIAFA AFUNGUA KIKAO MASWALA YA UONGOZI, ZANZIBAR