LEO NI SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Nchini mwetu, ugonjwa huo uliogundulika kwa mara ya kwanza mwaka 1981 mkoani Kagera, umesambaa katika mikoa yote, umekuwa sababu ya maafa mengi makubwa kwenye jamii ambako mbali ya vifo, umetuachia yatima, wajane na wagane.
Takwimu zinazotolewa zinaonyesha kuwa maambukizi mapya yamekuwa yakipungua kwa kiasi kikubwa, ingawa hali halisi ni...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Siku ya Ukimwi Duniani Kitaifa kufanyika mkoani Njombe
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) , Dkt. Fatma Mrisho akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani yatakayofanyika kitaifa mkoani Njombe kuanzia Novemba 24, 2014 na kufikia kilele chake Desemba 1, 2014.
Na Beatrice Lyimo na Aron Msigwa- MAELEZO
Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani kwa mwaka 2014 kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Njombe kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe moja Desemba.
Hayo yamesemwa leo...
10 years ago
CloudsFM24 Nov
NJOMBE KUWA MWENYEJI KITAIFA, SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Tume ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi.
Mwenyekiti Mtendaji wa Tacaids, Dk. Fatma Mrisho, alisema kauli mbiu hiyo pia inalenga kudhibiti...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
MEYA WA ILALA KATIKA MAADHIMISHO YA Siku ya ukimwi Duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJqfjFqv3FU/VHy9XiPOYQI/AAAAAAAG0oY/rUiaEQdhUMI/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
9 years ago
StarTV27 Nov
Kuahirishwa kwa  maadhimisho Siku Ya Ukimwi Duniani kwapokelewa tofauti
Siku moja baada ya Serikali kutangaza kuahirisha shughuli za maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo yalipangwa kufanyika Kitaifa mkoani Singida mwaka huu, baadhi ya watu wanaoishi na Virusi vya ugonjwa huo wamekuwa na maoni na mitazamo tofauti juu ya uamuzi huo.
Baadhi wamepongeza uamuzi huo wa Serikali na wengine wakidai umechelewa kutolewa kwa kuwa wadau wengi walikwishaingia gharama kubwa za maandalizi na kusafiri hadi Singida kuhudhuria uzinduzi wa maadhimsiho hayo Jumatano hii...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s72-c/tacaids%2B-%2B2.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KUFANYIKA KITAIFA MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PNENaKjnkI/VG9oe1FQJvI/AAAAAAAGyu8/J2sj5Yz-IZU/s1600/tacaids%2B-%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d941_g43zQk/VG9oehS20SI/AAAAAAAGyu4/Ux0guocc3dY/s1600/tacaids%2B-%2B1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MiX7rpWSExbZbWYeF0yPQ8rvPtyAoCfcK1BOqcjDBRR56mUz9stiptrSNrh8yXNApocotm6bOrdjUY81YDeAsyt/SIKUYAUKIMWI.jpg?width=650)
SIKU YA UKIMWI DUNIANI; MKOA WA NJOMBE BADO UNAONGOZA KWA MAAMBUKIZI
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wadau wa afya Mkoani Mbeya wakutana kujadili kuelekea siku ya Maadhimisho ya UKIMWI Duniani !
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mkoa wa Singida mwenyeji maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, Desemba Mosi mwaka huu
![DSCN5254](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5254.jpg)
9 years ago
MichuziWADAU WA AFYA MKOANI MBEYA WAKUTANA NA KUJADILIANA KUELEKEA SIKU YA MAADHIMISHO YA UKIMWI DUNIANI