Why VPL must learn from Bundesliga
The Vodacom Premier League (VPL) can hit a new milestone quality-wise should the governing body, TFF, and clubs learn from the best.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Tuzungumzie Bundesliga
Hata kama si mpenzi wa soka, ni lazima utakuwa umewahi kusikia majina ya vilabu vikubwa barani Ulaya kama vile Bayern Munich na Wolfsburg Germany. Hivi ni vilabu vikubwa vinavyoshiriki ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga.
Habari hii si kuhusu vilabu wala uchambuzi wa kisoka, lakini ni kuhusu jinsi unavyoweza kuitazama.
Katika pitapita zangu nimekutana na hii application, inaitwa Tenbre inatolewa na Startimes BURE. Unaweza kujiuliza, kuna uhusiano gani kati ya hii Tenbre na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-u7WrXmtJRzs/Vcgcy3TRkrI/AAAAAAAASOM/OO7AxyOWmDk/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA STARTIMES YA ZINDUA BUNDESLIGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-u7WrXmtJRzs/Vcgcy3TRkrI/AAAAAAAASOM/OO7AxyOWmDk/s640/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Msimamo wa LIGI kuu ya Ujerumani — Bundesliga
Ratiba ya michuano ya soka nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga bado inaendelea. Leo saa 9:30 kutakuwa na mnyukano mkali kati ya Darmstadt 98 inayoshikilia nafasi ya tisa na Mainz 05 inayoshikilia nafasi ya kumi na mbili. Bayern Munich bado wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na point 21.
Kwa hapa nchini unaweza kufuatilia michano hii ukiwa na king’amuzi cha Startimes pekee. Lakini kama wewe si mteja wao usitie shaka, kuna njia mbadala unayoweza kutumia kutazama LIVE michuano hii kupitia...
10 years ago
Habarileo14 Aug
Uhondo Bundesliga kuanza leo Startimes
LIGI Kuu ya Ujerumani Bundesliga inaanza leo na kwa Tanzania itaonyeshwa moja kwa moja kupitia king’amuzi cha Startimes.
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Ipi kali? Bundesliga, Serie A au Premier League
Mchezo wa soka ndio wenye mashabiki wengi zaidi duniani. Kati ya mashindano makubwa yanayopendwa zaidi ulimwenguni ni ligi mbalimbali zinazochzwa barani Ulaya. Kwa nafasi yako, je ni ipi ligi kabambe zaidi kati ya hizi? Je ni Premier League ya Uingereza? Au ni Bundesliga ya Ujerumani au ni ile Serie A ya Italia?
Kila mmoja wetu atakuwa na mtazamo na mapenzi tofauti juu ya hilo, lakini jambo moja linabaki wazi, wote tungependa kutazama mpira barani Ulaya, tena ikiwezekana BURE, bila kulipia...
5 years ago
BeSoccer EN25 Mar
Bayern Munich and other Bundesliga clubs take pay cut
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-QA3R_yONzh4/Voa0J3AENAI/AAAAAAAAEWY/7GQJFphbHNQ/s72-c/CXlFSxgWkAAElNZ.jpg)
JAVIER "CHICHARITO" HERNANDEZ NAMED AGAIN BUNDESLIGA PLAYER OF THE MONTH
![](http://3.bp.blogspot.com/-QA3R_yONzh4/Voa0J3AENAI/AAAAAAAAEWY/7GQJFphbHNQ/s1600/CXlFSxgWkAAElNZ.jpg)
Hernandez scored five times for Leverkusen in December, or once every 52 minutes -- the best rate in the league.
Hernandez, 27, completed a hat trick in his side's 5-0 rout of Borussia Monchengladbach and added a goal each against Hertha Berlin and Ingolstadt.The former Manchester United man also...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0bAtw3FcCmE/XvXr6A6gh2I/AAAAAAALvi4/kESuXrYI7jgyNSPXK5a-nM8lpSgpDbdbQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B3.27.49%2BPM.jpeg)
Pazia la Bundesliga linafungwa rasmi-Aufiderzen, bonasi kubwa!
![](https://1.bp.blogspot.com/-0bAtw3FcCmE/XvXr6A6gh2I/AAAAAAALvi4/kESuXrYI7jgyNSPXK5a-nM8lpSgpDbdbQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B3.27.49%2BPM.jpeg)
Bundesliga maalum ikiwa na machaguo zaidi ya 7000.
WIKIENDI hii pazia la msimu wa 56 wa German Bundesliga linahitimishwa leo. Mechi 9 zitachezeka kukamilisha mzunguko wa 34 kwenye Ligi. Meridianbet ina ofa maalum ya machaguo zaidi ya 7000 yakiwa na nafasi ya kushinda bonasi kubwa kutokana na idadi ya mechi ulizobashiri, hadi 1000%!
Japo bingwa amekwisha kujulikana, lakini bado kwenye Ligi kuna walakini. Wikiendi iliyopita kwenye Car Derby, Borussia Dortmund aliibuka na ushindi kutoka kwa...