Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Why VPL must learn from Bundesliga

The Vodacom Premier League (VPL) can hit a new milestone quality-wise should the governing body, TFF, and clubs learn from the best.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tuzungumzie Bundesliga

Hata kama si mpenzi wa soka, ni lazima utakuwa umewahi kusikia majina ya vilabu vikubwa barani Ulaya kama vile Bayern Munich na Wolfsburg Germany. Hivi ni vilabu vikubwa vinavyoshiriki ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga.

Untitled 1

Habari hii si kuhusu vilabu wala uchambuzi wa kisoka, lakini ni kuhusu jinsi unavyoweza kuitazama.

Katika pitapita zangu nimekutana na hii application, inaitwa Tenbre inatolewa na Startimes BURE. Unaweza kujiuliza, kuna uhusiano gani kati ya hii Tenbre na...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA STARTIMES YA ZINDUA BUNDESLIGA

 Mkurugenzi wa Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,  Leonard Thadeo akipiga mpira kuelekea golini kwa mlinda mlango,  Maulid Kitenge ambaye ni mtangazaji wa kituo cha redio cha EFM kuashiria uzinduzi rasmi wa ligi ya Ujerumani, Bundesliga itayorushwa moja kwa moja kupitia ving’amuzi vya StarTimes nchini. Wanaoshuhudia tukio hilo lililofanyika makao makuu ya kampuni hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Msimamo wa LIGI kuu ya Ujerumani — Bundesliga

Ratiba ya michuano ya soka nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga bado inaendelea. Leo saa 9:30 kutakuwa na mnyukano mkali kati ya Darmstadt 98 inayoshikilia nafasi ya tisa na Mainz 05 inayoshikilia nafasi ya kumi na mbili. Bayern Munich bado wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na point 21.

laliga 1

Kwa hapa nchini unaweza kufuatilia michano hii ukiwa na king’amuzi cha Startimes pekee. Lakini kama wewe si mteja wao usitie shaka, kuna njia mbadala unayoweza kutumia kutazama LIVE michuano hii kupitia...

 

10 years ago

Habarileo

Uhondo Bundesliga kuanza leo Startimes

LIGI Kuu ya Ujerumani Bundesliga inaanza leo na kwa Tanzania itaonyeshwa moja kwa moja kupitia king’amuzi cha Startimes.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ipi kali? Bundesliga, Serie A au Premier League

Mchezo wa soka ndio wenye mashabiki wengi zaidi duniani. Kati ya mashindano makubwa yanayopendwa zaidi ulimwenguni ni ligi mbalimbali zinazochzwa barani Ulaya. Kwa nafasi yako, je ni ipi ligi kabambe zaidi kati ya hizi? Je ni Premier League ya Uingereza? Au ni Bundesliga ya Ujerumani au ni ile Serie A ya Italia?

Untitled-1 (1)

Kila mmoja wetu atakuwa na mtazamo na mapenzi tofauti juu ya hilo, lakini jambo moja linabaki wazi, wote tungependa kutazama mpira barani Ulaya, tena ikiwezekana BURE, bila kulipia...

 

5 years ago

BeSoccer EN

Bayern Munich and other Bundesliga clubs take pay cut

Bayern Munich and other Bundesliga clubs take pay cut  BeSoccer ENThe Best Players Ever to Wear Each Shirt Number at Bayern Munich  90minCoronavirus: Bayern Munich and Dortmund stars agree pay cut to help save staff jobs  Mirror OnlineBundesliga players onboard with wage cuts amid coronavirus crisis  Daily SabahDavid Alaba: Assessing Which Club the Bayern Munich Defender Should Join This Summer  90minView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Africanjam.Com

JAVIER "CHICHARITO" HERNANDEZ NAMED AGAIN BUNDESLIGA PLAYER OF THE MONTH

Bayer Leverkusen striker Javier "Chicharito" Hernandez has been named Bundesliga player of the month for December, the second consecutive month that the Mexican international has received the honour.
Hernandez scored five times for Leverkusen in December, or once every 52 minutes -- the best rate in the league.
Hernandez, 27, completed a hat trick in his side's 5-0 rout of Borussia Monchengladbach and added a goal each against Hertha Berlin and Ingolstadt.The former Manchester United man also...

 

5 years ago

Michuzi

Pazia la Bundesliga linafungwa rasmi-Aufiderzen, bonasi kubwa!


Bundesliga maalum ikiwa na machaguo zaidi ya 7000.
WIKIENDI  hii pazia la msimu wa 56 wa German Bundesliga linahitimishwa leo. Mechi 9 zitachezeka kukamilisha mzunguko wa 34 kwenye Ligi. Meridianbet ina ofa maalum ya machaguo zaidi ya 7000 yakiwa na nafasi ya kushinda bonasi kubwa kutokana na idadi ya mechi ulizobashiri, hadi 1000%!
Japo bingwa amekwisha kujulikana, lakini bado kwenye Ligi kuna walakini. Wikiendi iliyopita kwenye Car Derby, Borussia Dortmund aliibuka na ushindi kutoka kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani