Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pazia la Bundesliga linafungwa rasmi-Aufiderzen, bonasi kubwa!


Bundesliga maalum ikiwa na machaguo zaidi ya 7000.
WIKIENDI  hii pazia la msimu wa 56 wa German Bundesliga linahitimishwa leo. Mechi 9 zitachezeka kukamilisha mzunguko wa 34 kwenye Ligi. Meridianbet ina ofa maalum ya machaguo zaidi ya 7000 yakiwa na nafasi ya kushinda bonasi kubwa kutokana na idadi ya mechi ulizobashiri, hadi 1000%!
Japo bingwa amekwisha kujulikana, lakini bado kwenye Ligi kuna walakini. Wikiendi iliyopita kwenye Car Derby, Borussia Dortmund aliibuka na ushindi kutoka kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia kesho


Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015. Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa TMT...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shindano la TMT 2015 lazinduliwa rasmi leo, Mwanza kufungua pazia tarehe 24 April 2015.

Afisa Masoko na Mahusiano wa Proin Promotions Ltd, Josephat Lukaza akizungumzia Uzinduzi wa msimu wa pili wa Shindano la TMT 2015 lililopo chini ya Kampuni ya Proin Promotions Ltd ambao pia ni wasambazaji, wauzaji na watengenezaji wa filamu za Kitanzania. Anayeshuhudia pembeni ni Mratibu wa Masoko wa ITV/Radio One ambao ni mmoja wa wadhamini wa Shindano la TMT 2015.   Mratibu wa masoko kutoka ITV/Radio One (wa pili kulia) akizungumzia juu ya umuhimu wa wao ITV/Radio one kuwa washirika wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Bonasi, posho zaivuruga Afrika

Ushiriki wa Afrika kwenye fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea Brazil mwaka huu umekuwa wenye sura tofauti.

 

5 years ago

Michuzi

JISAJILI NA UPATE BONASI YA 5% KWA KILA MUAMALA UNAOWEKA


FURAHIA, SHINDA PESA- Jiunge na Meridianbet na ucheze Simulated Reality League Nini maana ya Simulated Reality League na unabashiri vipi? 
Ligi halisi za kuchezeshwa ni mchezo usio halisi wa mpira, ambao una tofauti kubwa ambayo imekuja kua mbadala katika mchezo wa soka. Michezo hii ya ligi za kuchezeshwa inatumia akili ya kawaida na mashine zinazotambua uwezo wa kuchambua matokeo ya kila mechi inayochezwa inayo mchezo wa mpira wa kawiada.
Hii imetengenezea michezo ya kubashiri hali na hamasa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tuzungumzie Bundesliga

Hata kama si mpenzi wa soka, ni lazima utakuwa umewahi kusikia majina ya vilabu vikubwa barani Ulaya kama vile Bayern Munich na Wolfsburg Germany. Hivi ni vilabu vikubwa vinavyoshiriki ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga.

Untitled 1

Habari hii si kuhusu vilabu wala uchambuzi wa kisoka, lakini ni kuhusu jinsi unavyoweza kuitazama.

Katika pitapita zangu nimekutana na hii application, inaitwa Tenbre inatolewa na Startimes BURE. Unaweza kujiuliza, kuna uhusiano gani kati ya hii Tenbre na...

 

10 years ago

TheCitizen

Why VPL must learn from Bundesliga

The Vodacom Premier League (VPL) can hit a new milestone quality-wise should the governing body, TFF, and clubs learn from the best.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA STARTIMES YA ZINDUA BUNDESLIGA

 Mkurugenzi wa Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,  Leonard Thadeo akipiga mpira kuelekea golini kwa mlinda mlango,  Maulid Kitenge ambaye ni mtangazaji wa kituo cha redio cha EFM kuashiria uzinduzi rasmi wa ligi ya Ujerumani, Bundesliga itayorushwa moja kwa moja kupitia ving’amuzi vya StarTimes nchini. Wanaoshuhudia tukio hilo lililofanyika makao makuu ya kampuni hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Uhondo Bundesliga kuanza leo Startimes

LIGI Kuu ya Ujerumani Bundesliga inaanza leo na kwa Tanzania itaonyeshwa moja kwa moja kupitia king’amuzi cha Startimes.

 

10 years ago

Dewji Blog

Msimamo wa LIGI kuu ya Ujerumani — Bundesliga

Ratiba ya michuano ya soka nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga bado inaendelea. Leo saa 9:30 kutakuwa na mnyukano mkali kati ya Darmstadt 98 inayoshikilia nafasi ya tisa na Mainz 05 inayoshikilia nafasi ya kumi na mbili. Bayern Munich bado wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na point 21.

laliga 1

Kwa hapa nchini unaweza kufuatilia michano hii ukiwa na king’amuzi cha Startimes pekee. Lakini kama wewe si mteja wao usitie shaka, kuna njia mbadala unayoweza kutumia kutazama LIVE michuano hii kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani