Ipi kali? Bundesliga, Serie A au Premier League
Mchezo wa soka ndio wenye mashabiki wengi zaidi duniani. Kati ya mashindano makubwa yanayopendwa zaidi ulimwenguni ni ligi mbalimbali zinazochzwa barani Ulaya. Kwa nafasi yako, je ni ipi ligi kabambe zaidi kati ya hizi? Je ni Premier League ya Uingereza? Au ni Bundesliga ya Ujerumani au ni ile Serie A ya Italia?
Kila mmoja wetu atakuwa na mtazamo na mapenzi tofauti juu ya hilo, lakini jambo moja linabaki wazi, wote tungependa kutazama mpira barani Ulaya, tena ikiwezekana BURE, bila kulipia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Africanjam.ComBARCLAYS PREMIER LEAGUE "EPL", LA LIGA, SERIE A & BUNDESLIGA TABLES UP TO NOW..
Football tables provided by
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Kati ya Picha Hizi Nne za Mzee Majuto Ipi ni Kali Zaidi?
PICHA ni kumbukumbu muhimu katika maisha, hufurahisha na kuburudisha na wakati mwingine uhudhunisha pia ilimradi tu maisha yanasonga mbele. Leo kutoka kwenye maktaba yetu ya picha, tumekutana hizi picha nne za mwigizaji nguli wa filamu za vichekesho hapa nchini, Amri Athuman'King Majuto' ukipenda muite Mzee Majuto alizopiga na waigizaji hawa wakike, Wema Sepetu, Riyama Ally,Kajala Masanja na Jackline Masawe “Wolper”.
Zote ni nzuri lakini wewe umeipenda ipi?
5 years ago
KOKI FOX 2313 Mar
Premier League, Champions League call off matches
9 years ago
BBCAfricans in the Premier League
10 years ago
BBC11 years ago
TheCitizen11 Feb
Logarusic gives up on Premier League title
5 years ago
The Top Flight17 Mar
Liverpool should (obviously) still be given the Premier League title
5 years ago
Rush The Kop04 Mar
Winning the Premier League isn’t good enough