JK azindua ujenzi Daraja la Kilombero
Rais Jakaya Kikwete amezindua miradi miwili mikubwa ya kiuchumi na kijamii katika Wilaya za Ulanga na Kilombero, ukiwamo ujenzi wa Daraja la Mto Kilombero.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO WAENDELEA KWA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mXsoyHjKjcQ/VZr6dN2Xu4I/AAAAAAAHnZ4/aELBnBSTLtU/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA DARAJA LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ONx6AI1isGk/U_WqfmiBIKI/AAAAAAAGBFY/RRB-6ksra0Y/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w7CMGL8y0cI/U_Wqh-kYvpI/AAAAAAAGBFw/o_8b2yABlUE/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Rais Kikwete aandika historia: Aanzisha ujenzi Daraja la Kilombero
Magari yakivuka juu ya daraja la muda la Mto Kilombero lililojengwa kurahisisha kazi za ujenzi wa daraja la kudumu katika wilaya ya Kilombero Mkoa wa Morogoro, wakati wa sherehe za uwekaji jiwe la msingi wa ujenzi wa darajan hilo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Agosti 20, 2014.
Historia imeandikwa Jumatano, Agosti 20, 2014 katika Mkoa wa Morogoro na katika Tanzania. Kwa mara ya kwanza tokea enzi na enzi, magari yameweza kuvuka Mto wa Kilombero, moja ya mito mikubwa zaidi nchini, mpakani mwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA DARAJA LA GULWE MPWAPWA
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
10 years ago
MichuziKILOMBERO WAJIVUNIA KUONGOZA UJENZI WA MAABARA KIMKOA
Diwani zamani wa Kata ya Kisawasawa , Hasaan Goagoa pamoja na Hassan Kidapa wa Kata ya Chita, kwa nyakati tofauti walisema ushirikiano baina ya madiwani bila...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s72-c/IMG_0029.jpg)
Taswira ya ujenzi wa daraja la kigamboni
![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s1600/IMG_0029.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10