Ujenzi Uwanja wa Ndege wa Nyerere waendelea vizuri
UJENZI wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, unaendelea vizuri. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Masuala ya Usalama wa Wizara ya Uchukuzi, Erasto Wapalila, jijini juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Jul
mwandani wa mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (New Terminal III Project)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UXfJhnELW4o/VLoCjb0i0gI/AAAAAAAG96s/YT5J6tq9E8c/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
TIMU YA WAATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBELEA KITUO CHA HALI YA HEWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA) NA UJENZI WA JENGO LA TATU LA ABIRIA (TERMINAL III)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UXfJhnELW4o/VLoCjb0i0gI/AAAAAAAG96s/YT5J6tq9E8c/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AQ41RnqHmgw/VLoCjnVqVBI/AAAAAAAG96w/XI9ySLGKRJI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vovp4T1uHu8/Xt-dmTYiB4I/AAAAAAALtMo/x53f2-IE67E3xD-DYST1WirLxBsKGgTpwCLcBGAsYHQ/s72-c/290.jpg)
UJENZI MRADI MKUBWA ENEO LA MAEGESHO YA NDEGE UWANJA WA NDEGE WAPAMBA MOTO ZANZIBAR
Harakati za umwagaji wa zege katika sehemu za kupakia na kushukia abiria ziko katika hatua nzuri chini ya wahandisi wa kampuni ya kimataifa ya CRJ kutoka nchini China wakisaidiwa na wahandisi na washauri wazalendo waliobobea kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salam.
Makamu wa Pili wa...
10 years ago
Michuzitimu ya wataalam kutoka wizara ya uchukuzi watembelea kituo cha uongozaji ndege Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere (JNIA)
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
9 years ago
Habarileo21 Oct
Ujenzi uwanja ndege Karume wanukia
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Ali Mohamed Shein amesema mipango imekamilika ya kujenga kiwanja cha ndege cha Karume kilichopo Pemba kuwa na hadhi ya kimataifa.
11 years ago
Habarileo29 Mar
Maalim Seif aridhishwa na ujenzi uwanja wa ndege
MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad ameeleza kuridhishwa na kazi za ujenzi wa miradi mitatu ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amaan Karume uliopo Zanzibar.
11 years ago
Michuzi25 Feb
zungu la unga ladakwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam
![](https://3.bp.blogspot.com/-9DbLzcZqnzw/UwtyFbb9D9I/AAAAAAAAPjU/s_AL9XyaXVY/s640/Alexamdrios+Atanasios.jpg)
Habari zinasema mzungu huyo alikamatwa wakati wa upekuzi, akijiandaa kupanda ndege ya Swiss air kueleke jijini Zurich, Uswisi.
Madawa hayo yalikutwa yakiwa yamefichwa kwenye “sakafu” ya begi lake baada ya mitambo ya kisasasa yaupekuzi, kugundua kuwa kulikuwa na...