Mweli akoshwa na matumizi ya tofali za mfungamano katika ujenzi wa madarasa
![](https://1.bp.blogspot.com/-01nyO0Xvjaw/XmvkiqYbYnI/AAAAAAALjAU/LsH_fO_PJAMzNx1EyVGUlbhYE3EKL0lFgCLcBGAsYHQ/s72-c/i.jpg)
Naibu Katibu Mkuu (Elimu), toka OR-TAMISEMI Gerald Mweli (kushoto) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Robert Gabriel wakati wa ziara yake ya kikazimkoani humo.Naibu Katibu Mkuu (Elimu), toka OR-TAMISEMI (kwanza kulia) akimskiliza Mkuuwa Mkoa wa Geita Mhe. Robert Gabriel (katikati) akielezea ujenzi wa madarasakwa kutumia tofali mfungamano wakati wa ziara yake mkoani humo, kushoto niKatibu Tawala Mkoa wa Geita Denis Bandisa.
Muoenekano wa darasa lililojengwa kwa kutumia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6EKlHiKIYXk/XqE3ZLXUgII/AAAAAAALn7Q/kchuecdXj_Ibg1SEHB72R9ztTXCZJA0dgCLcBGAsYHQ/s72-c/8f936b79-af4d-4b39-912e-c23b0556e57e.jpg)
JAFO AKOSHWA NA SPIDI YA UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa kujitahidi kuendesha kwa spidi ujenzi wa Hospitali mbili za Uhuru na Mlolo.
Jafo amesema kukamilika kwa haraka kwa ujenzi wa Hospitali hizo kutatoa fursa nzuri kwa wananchi wa Chamwino kupata huduma bora za kiafya.
Akizungumza katika ziara yake ya kukagua hospitali hizo, Jafo amesema ujenzi wa hospitali hizo umeenda kwa spidi inayotakiwa hivyo kuwa na imani zitaanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K2VU0KDVTWE/XkWj18g6DvI/AAAAAAALdUI/HLdOghcw0pEt27fnerprJN89M2xBnpuZwCLcBGAsYHQ/s72-c/0586e112-8f7a-4e02-95b9-7c4822401e48.jpg)
Mweli afanya ziara kukagua ujenzi wa mabweni Sekondari ya Jangwani, Aagiza kukamilika ndani ya mwezi mmoja
Mweli ameonyesha kufurahishwa na hali hiyo alipokwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni hayo pamoja na miundombinu mingine inayoendelea kukarabatiwa katika shule hiyo.
Akizungumza katika ziara hiyo Mweli amesema mabweni hayo mawili yatakua na uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 kila moja hivyo wanafunzi 160 wakike...
5 years ago
MichuziRC Wangabo aagiza “Special Audit†huku zaidi ya Milioni 660 kutofahamika matumizi yake katika ujenzi hospitali ya Wilaya.
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Milioni 16/- zatolewa na CIP Trust ujenzi wa madarasa
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, (mwenye mgorore wa bluu) akishiriki kutoa burudani na kikundi cha uhamasishaji cha kijiji cha Kinyamwenda kwenye sherehe ya kukabidhi vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja ya walimu wa shule ya kijiji hicho.
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Community Initiatives Promotion Trust Fund (CIP Trust), limetumia zaidi ya shilingi 16 milioni, kugharamia ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi moja ya walimu, katika shule ya...
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI KUSAIDIA UJENZI WA MADARASA MANYONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe, akikabidhi mifuko ya saruji kwa viongozi wa Wilaya ya Manyoni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fwuaQgiIKHs/XlacpTtk-RI/AAAAAAAAkRg/Rm-97ovfw0MHD0Rvja9mkWaG5fRYHH1kACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0088.jpg)
Muonekano meza kuu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tiPC0fWVT98/XlacpZ1e-VI/AAAAAAAAkRc/Oo3UD_ua0AQqjyfe5W-EPDz9I8mrYhl4gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0089.jpg)
Wazazi wa wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa shule ya msingi Sayuni waliofika shuleni hapo kushuhudia makabidhiano ya mifuko ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3jxBeIlzQ8Q/XlacqfMR-FI/AAAAAAAAkRk/tXAYsG9vSeEpbhuFzkqBmqRTTZJnps7CgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0094.jpg)
Wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa Shule ya Msingi Sayuni, wakiwa katika picha ya pamoja Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AKABIDHI SAMPULI ZA MADAWATI KATIKA SHULE ZA MSINGI KWA MADARASA YA AWALI KATIKA MANISPAA YA LINDI MJINI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s72-c/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s640/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W8H3fgERAmo/Vl5zJNjLCCI/AAAAAAAAXgI/Wqy_Hx-tlHs/s640/IMG_9901%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Dzcjc5YBsk/Vl5zO53fpBI/AAAAAAAAXgs/os0AqcZ4z48/s640/IMG_9922%2B%25281024x683%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s72-c/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
BENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s640/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CKhNmnl7XZg/XnzAvRB0cxI/AAAAAAALlLA/FjP43vwrzqIGdg_Hi4ZFverU0LT27DvswCLcBGAsYHQ/s640/68e6f189-975b-4668-939d-2a9e70933b7d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DoY0D6OK0J0/XnzAvPurn5I/AAAAAAALlK8/dItvTUx8ev4yxEsdYbHRusxZkf6p7nxcgCLcBGAsYHQ/s640/22756c47-29a9-4b27-9784-a512f764c20a.jpg)