NAIBU WAZIRI ANGELINE MABULA AIPA KONGOLE NBC
![](https://1.bp.blogspot.com/-C5S-Fbu47-E/XmdtRwyg9LI/AAAAAAALiX0/qEuSGwTnUq4LfpAzXo8Zn2t_77_WBTusQCLcBGAsYHQ/s72-c/NBC%2B1.jpg)
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMANaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kuanzisha utaratibu wa kutembelea viongozi wanawake kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na uboreshaji huduma za benki hiyo.
Dkt Mabula alitoa pongezi hizo jana ofisini kwake jijini Dodoma baada ya kutembelewa na ujumbe wa NBC ukiiongozwa na Meneja wa Tawi la Benki hiyo jijini humo Bi. Happiness Kizigira ikiwa ni muendelezo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUJENZI MIRADI YA NHC WAMKUNA NAIBU WAZIRI MABULA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u0HRqSLDfeI/XlZNlPa9EsI/AAAAAAALfhM/PoB9gRuwYPYzTTyA6tmbtA97Zdgh6r3GwCLcBGAsYHQ/s72-c/UWEKEZAJI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/4-1-2-768x494.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WADAIWA SUGU KODI YA ARDHI KUBANWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R3reRAxCIxE/XsE5Wl_Q5fI/AAAAAAALqjs/g-HnTZwLydsn-yCvACUcAGOBZFuzYSX7wCLcBGAsYHQ/s640/4-1-2-768x494.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Iringa (IRUWASA) Gilbert Kayange baada ya kumpatia taarifa inayoonesha kiasi cha kodi ya pango la ardhi inachodaiwa Mamlaka hiyo wakati wa zoezi lake la kuwafikia wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi katika mkoa wa Iringa tarehe 16 Mei 2020. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-7.jpg)
Naibu Waziri wa Adhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Igr9iywvWY/XucHii8gHYI/AAAAAAALt1c/xhMBOgCYPVMxz6G_IznTKoWSslrfoiSCACLcBGAsYHQ/s72-c/1-21.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA UPIMAJI MAENEO YA MIGODI KUEPUKA MIGOGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Igr9iywvWY/XucHii8gHYI/AAAAAAALt1c/xhMBOgCYPVMxz6G_IznTKoWSslrfoiSCACLcBGAsYHQ/s640/1-21.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akioongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (Kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Geita Josephat Maganga kuelekea kuzungumza na watendaji wa sekta ya ardhi katika mkoa wa Geita wakati wa ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mwishoni mwa wiki.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-13.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Naibu Waziri wa Ardhi Anjelina Mabula atembelea Shirika la Nyumba (NHC)
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiwasili Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC Upanga jijini Dar es salaam huku akilakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo Ndugu Nehemia Mchechu wakati waziri huyo akiwa katika ziara yake ya kujifunza na kusikiliza Changamoto na mafanikio mbalimbali yaliyofikiwa na shirika hilo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula akiuliza jambo kwa mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s72-c/KWANGWA-3-768x376.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISXLx1oB828/XoMgZ2uu0YI/AAAAAAALlq4/zL3KLHjvizg-RZznluyKqDAZOdG5w3vrwCLcBGAsYHQ/s640/KWANGWA-3-768x376.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-5.jpg)
Jengo la hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara lililopo eneo la Kwangwa Musoma likiwa katika hatua za ukamilishaji. (PICHA NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/KWANGWA-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Mkoa wa Mara Injia Kazoba Wilson (kushoto) wakati akitoka kukagua maendelezo ya ujenzi wa hospitali hiyo jana Musoma mkoani Mara. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt Vincent Naano Anney.
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MABULA ATAKA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA KWANGWA MUSOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w34sNCwelvQ/Xn7wH0z8C-I/AAAAAAALlXQ/j63sAy3hxiIDFZd173HZFUyMEu0E-UcDwCLcBGAsYHQ/s72-c/BK-1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ACHOSHWA NA BAJETI ZA UPIMAJI ARDHI HALMASHAURI ZA MKOA WA KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-w34sNCwelvQ/Xn7wH0z8C-I/AAAAAAALlXQ/j63sAy3hxiIDFZd173HZFUyMEu0E-UcDwCLcBGAsYHQ/s640/BK-1.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti ofisini kwake jana alipowasili mkoani Kagera akiwa katika ziara yake ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/BK-2.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto) jana baada ya kuzungumza naye ofsini kwake akiwa katika ziara ya...
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MABULA AKERWA MSHAURI ELEKEZI KUKWAMISHA MRADI HOSPITALI YA RUFAA MARA
Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMA
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesikitishwa na hatua ya kusimamisha ujenzi wa miundombinu kwenye mradi wa kimkakati wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyopo eneo la Kwangwa Manispaa ya Musoma mkoa wa Mara uliofanywa na Mshauri Elekezi wa mradi huo Kampuni ya ARU Environment Consulting Company Ltd (ABECC) .
Hatua hiyo inafuatia Dkt Mabula kuelezwa na Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoa wa Mara Goodluck...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10