Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri ataka siasa za chuki kukomeshwa

 Dk Titus KamaniWAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amewataka wananchi wilayani Busega kuelewa kuwa, siasa za chuki na uhasama kamwe hazitaweza kuwaletea maendeleo zaidi ya kuwavuruga na kukwamisha shughuli za maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Rais Shein ataka udhalilishaji wa kijinsia kukomeshwa

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka miezi iliyobakia ya mwaka wa 2014, iwe ya kupambana na kutokomeza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Katika utekelezaji wa agizo hilo, Dk Shein ametaka vyombo vya sheria kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika watakaobainika kufanya matukio hayo.

 

10 years ago

Habarileo

UN yaonya vijana na siasa za chuki

UMOJA wa Mataifa (UN) nchini umetahadharisha vijana kuacha kutumiwa katika siasa za chuki na badala yake wawe mabalozi wa amani na wajikite katika kuhubiri amani iliyopo ili iendelee kudumu.

 

11 years ago

Habarileo

Mangula aonya siasa za chuki

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti aliyemaliza muda wake na kuomba tena kuwania nafasi hiyo, Freeman Mbowe. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).VYAMA vya siasa nchini, vimeaswa kutogeuza tofauti za kiitikadi na ilani za vyama kuwa chanzo cha chuki baina ya vyama na wafuasi wake, na badala yake vinapaswa kuwa na umoja wenye kuwa na maslahi ya wananchi.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk Shein asisistiza siasa za chuki zimepitwa na wakati

Mgombea urais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (CCM) akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, jimbo la Kojani, uliyofanyika kwenye uwanja wa mpira wa kijiji cha Kiungoni, Pemba. Rajab Mkasaba – Ikulu Zanzibar Jumamosi, Oktoba […]

The post Dk Shein asisistiza siasa za chuki zimepitwa na wakati appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Chuki, fitina, ukata, siasa zinavyoua soka Arusha

Ukizungumzia michezo Tanzania hauwezi kuacha kutaja Mkoa wa Arusha ambao uliwahi kupata umaarufu kupitia michezo hasa soka pamoja na riadha.

 

11 years ago

Michuzi

ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya  Iringa  Dkt. OwdenburgMdegela Wachungaji na  msaidizi wa Askofu kulia wakifuatilia salam za  pasaka zilizokuwa  zikitolewa na askofu Dkt. Mdegela Waumini  wa KKKT usharika wa kanisa  kuu Iringa leo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na  Francis Godwin, Iringa 
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya  Iringa  Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada  ya Jumapili ya Pasaka leo  kulaani vikali  wale wote  wanaowatukana...

 

10 years ago

Habarileo

Masenza ataka vyama vya siasa vidumishe amani

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Amina MasenzaMKUU wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza ameviomba vyama vya siasa mkoani hapa vidumishe amani na utulivu, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu ili wananchi waendelee kushikamana kama ilivyo sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Msajili avinyoshea kidole vyama vya siasa, ataka viheshimu Sheria ya Uchaguzi

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitahadharisha vyama vya siasa kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi wakati mchakato wa kutafuta wagombea ukiendelea.

 

10 years ago

Dewji Blog

Msimamizi wa uchaguzi wa EU ataka vyama vya siasa nchini kuwa na dhamira ya kuimarisha demokrasia

xuttynyfcf5zwtk562fe7176465a

Muangalizi Mkuu wa EU EOM, Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani