Snura: Shilole ni mtu wa kubwatuka hovyo
Baada ya Shilole kumkejeli Snura kwa kudai sio hadhi yake na asifananishwe naye, Snura amejibu mapigo
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, Snura alisema ameshamzoea Shilole ni mtu wa kubwatuka.
“Ni yeye ndio amezungumza sio mashabiki. Kama wangeongea mashabiki kweli lingenigusa na kunifanya nijiangalie tena kwa mara mbili au mara tatu lakini yeye kama yeye ndio kaongea,” alisema.
“Lakini yeye ni mtu wa kubwatuka hovyo kwenye interview na kuponda. Ile ni dalili kwamba...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSNURA AMBWATUKIA SHILOLE
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC aonya siasa za hovyo hovyo Arusha
MKUU mpya wa Mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda `Kijiko’ amevitaka vyama vya siasa mkoani hapa kuepuka siasa zozote zinazoingilia utendaji wa Serikali na kusisitiza atapambana hadi dakika za mwisho ili kuhakikisha siasa hizo hazipati nafasi.
11 years ago
GPLBARUA NZITO: UKIMSHANGAA SNURA UTAKUTANA NA SHILOLE!
11 years ago
GPL31 Mar
GLOBAL TV ONLINE: MTU KATI NA SNURA MUSHI - PART I
9 years ago
GPLSHILOLE: NIKIIBA MUME WA MTU NISILAUMIWE
11 years ago
GPLGLOBAL TV ONLINE: MTU KATI NA SNURA MUSHI 'MAMAA MAJANGA' - PART II
11 years ago
GPL10 Mar
GLOBAL TV ONLINE; MTU KATI NA SHILOLE 'SHISHI BABY'
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Wanaovaa hovyo vyuoni kudhibitiwa
SERA ya kudhibiti mavazi yasiyoendana na maadili, yanayovaliwa na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini, inaelezwa itakuwa muarobaini kwa wanafunzi husika. Akizungumza na waandishi wa habari hivi karibuni, Mkuu wa...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Malezi ya hovyo ya Makonda yasituzuie kujadili Katiba
BIBLIA Takatifu inasema kuwa; “Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye makwazo hayo yaja kwa sababu yake; ni afadhali akafungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini,...