SHILOLE: NIKIIBA MUME WA MTU NISILAUMIWE
![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWBA9XMvHjZDWBxDNuH-frC6-5EbfNuSzNEbHfUkQ123j9lWEepszaM3kWb1Pu7PrqyeaXjnPk-baYhv2p3uWnqZ/shilole.jpg?width=650)
Mwanamuziki wa miondoko ya mduara ambaye kwa hivi sasa anatumikia kifungo cha mwaka mmoja kilichotolewa na Baraza la Sanaa Basata ya kutojihusisha na shughuli za kisanaa mpaka mwaka mmoja, kitu ambacho kimemuumiza sana na kudai kuwa akiiba mume wa mtu atakuwa anakosea pia! Â .....Soma zaidi===>http://bit.ly/1E6KTfl
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
Stori:Â Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIkwe79Xf*bMKoF4R9FbewQXeyINX6RzAGzhSuWOwPYDD5JgyVpjIVKOxRsXcX26sWJiOYVK9626gtBKHQVuzb2/mkewamtusumu.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-1vT*zX-Bf*GInnodcrT8l4*gnuztlCu93OJTj4DtQETsRyWtMK5G*k54C1HgkhB6tRbbjaykSaE30DkzGpcmDj/BACKAMANI.jpg?width=650)
MUME WA MTU ALIVYOAIBIKA
Stori: Mwandishi Wetu,Kahama AIBU! Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Joseph amejikuta akiaibika vikali kufuatia kudaiwa kunaswa akiwa na mwanamke mwingine ilhali yeye ni mume wa mwanamke aitwaye Sophia, Amani limenyetishiwa. Joseph akipewa kichapo na wananchi. Kwa mujibu wa mashuhuda, aibu hiyo ilimkuta Joseph, Februari 14, mwaka huu (Siku ya Wapendanao Duniani) kwenye Kitongoji cha Nyihongo wilayani Kahama, Shinyanga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0Wqu*lxZbpZgxVAkg5hQaxnEyt9nOVjEeYgxMzxAGFyyzh2qGDtk1ZW7261nHMBVVL43wlkSPSkjgmAHb4PTAHu/odama.jpg)
ODAMA LAIVU NA MUME WA MTU
Stori: Richard Bukos
MSANII nyota wa filamu za kibongo, Jennifer Kyaka maarufu kwa jina la kisanii kama Odama, usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita alinaswa Live akiwa kwenye pozi la aina yake akiwa na pedeshee maarufu jijini Dar anayefahamika kama Papaa Daudi ambaye anadaiwa kuwa mume wa mtu. Msanii nyota wa filamu za kibongo, Jennifer Kyaka Odama akiwa kwenye pozi la kimahaba na anayedaiwa kuwa ni mume wa mtu. Wawili hao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOSAWHxohslGdDOfdskTB1sKMFueS5LomF69ziePzlb2vezAFB4vkMxtacqF2tBJm3O7KY49ftfkLbRz8dJstGck/masogange.jpg?width=650)
MASOGANGE: NAOGOPA MUME WA MTU
Na Imelda Mtema
VIDEO Queen mwenye figa matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amesema anaogopa kama ukoma kutembea na mume wa mtu kama wafanyavyo baadhi ya watu. Agnes Jerald ‘Masogange’. Akizungumza na paparazi wetu, Agnes ambaye hivi sasa amejiingiza kwenye soko la filamu, alisema anaogopa sana kuingia kwenye uhusiano na mume wa mtu ndiyo maana anaona bora aendelee na mpenzi wake wa siku zote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsulok50a524A1Yb-jtCFxiOk*pROSe9wF2DuU6DlK-nYmgeQGTBkGCW413dD5kbO6q5Y86O5Id7Vpv-HqIXveyQn/aunty.jpg)
AUNT MUME WA MTU WANASWA!
Stori: Musa Mateja, Mwanza STAA wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel amenaswa live akijivinjari na mume wa mtu, Risasi Mchanganyiko linaripoti bila woga. Staa wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel (katikati) akiwa karibu na dansa wa Wasafi Classic, Moses Yobo. Aunt alinaswa akiwa na mnenguaji wa Wasafi Classic, Moses Yobo anayepiga mzigo chini ya Nasib Abdul ‘Diamond’ katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrkGkJNd-wu0RS7e0ADQ-P0TUwQBiAFnTuwxTBUQdCS7YR0AvdXJATDoVW2162ezWuTq-gWU938bc4jK3K8k65b/KAJALA.jpg?width=650)
MUME WA MTU AMLIZA KAJALA
Stori:Â Imelda Mtema
BAADA ya kuzagaa kwa skandali kuwa mwigizaji Kajala Masanja anatembea na mume wa mtu, staa huyo ameibuka na kueleza kulizwa na ishu hiyo akianika siri nzito ambayo ilikuwa nyuma ya pazia. Kajala Masanja. Taarifa za awali ambazo Ijumaa Wikienda lilizipata zilieleza kuwa tangu habari hiyo ya mjini ilipuke kama moto wa kifuu kwenye mitandao na baadhi ya magazeti (siyo ya Global), Kajala amekuwa akiishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3ObpJxkkylwAansLKesjwuQYt6xc-kNpaD4eUT2ILAKTBqgtNMa4mylOD6pgCkZUJphbF*nPVCFCoV*l4KeYxmc/QRRQ.jpg?width=650)
UZURI NA UBAYA WA MUME WA MTU!
HABARI zenu wapendwa wasomaji wa safu hii. Tumekutana tena kwa mara nyingine ili tuweze kupeana mawili matatu yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na maisha ndani ya ndoa. Kabla sijaingia chumba cha habari na kuandika makala haya, nilifanya utafiti mdogo kwa kuwashirikisha marafiki, wanafunzi na watu wengine walio na uzoefu wa maisha ya kimapenzi na baadaye kubaini sababu kadhaa zinazowafanya wasichana kupenda waume za watu....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSo2MLHNKnL042Gj-iyb16nnZdsuf7nPTOyj5L0qHld3qQOoCv7sO16RwUceVeodUrw7p-kj3uxGnQGfsYJ7Tvu9/unga.jpg)
MUME WA MTU: SIMUACHI NG’O AUNT
Stori: IMELDA MTEMA Mcheza shoo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond,’ Moses Iyobo amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kuenea uvumi wa kutoka kimapenzi na mcheza filamu mahiri Bongo, Aunt Ezekiel kuwa hawezi kumuacha msanii huyo ng’o. Mcheza shoo wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond,’ Moses Iyobo (katikati). Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Moses alisema kuwa kutokana na maneno mengi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania