NGUMI KUPIGWA JUMAPILI UWANJA WA NDANI WA TAIFA MABONDIA WAZIDUNDA KAVU KAVU
Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakikunjana baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili katika uwanja wa ndani wa taifa
Mabondia Mada Maugo kushoto na Kalama Nyilawila wakikunjana baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili katika uwanja wa ndani wa taifa
Bondia Thomas Mashali akipima uzito
Bondia Japhert Kaseba akipima uzito kulia ni mpinzani wakeSaid Mbelwa akishudia kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili ya march 15 katika uwanja wa ndani wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Feb
NGUMI KUPIGWA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
![](https://4.bp.blogspot.com/-3sK3dpj2IZM/VMM64uSiZ3I/AAAAAAAAG4I/fyLpvOZl_uU/s400/2.jpg)
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' ametamba kumsambalatisha Fadhili MajihaStoper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...
10 years ago
Michuzi25 Feb
NGUMI KUPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
![](https://4.bp.blogspot.com/-3sK3dpj2IZM/VMM64uSiZ3I/AAAAAAAAG4I/fyLpvOZl_uU/s400/2.jpg)
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe'
ametamba kumsambalatisha Fadhili Majiha 'Stopper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...
10 years ago
Vijimambo27 Feb
MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
10 years ago
VijimamboMABONDIA VICENT MBILINYI NA SAID MUNDI WA TANGA KUPIGANA KESHO UWANJA WA NDANI WA TAIFA
10 years ago
Vijimambo06 Nov
NGUMI KUPIGWA JUMAPILI MANZESE UKUMBA WA MANYARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KmR6rscr-wc/VEAmYBXNngI/AAAAAAAAGeg/Azf7n-Bfwl0/s1600/NDAME.jpg)
10 years ago
MichuziMABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Diwani Kiwira akalia kuti kavu
DIWANI wa Kata ya Kiwira wilayani Rungwe Mbeya, Raulent Mwakalebule (CHADEMA), amewekwa kiti moto na madiwani wa kambi ya upinzani baada ya kupingana na uamuzi wa Umoja wa Katiba ya...
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Kerr akalia kuti kavu Simba