NGUMI KUPIGWA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
'
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' ametamba kumsambalatisha Fadhili MajihaStoper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Feb
NGUMI KUPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
![](https://4.bp.blogspot.com/-3sK3dpj2IZM/VMM64uSiZ3I/AAAAAAAAG4I/fyLpvOZl_uU/s400/2.jpg)
BONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe'
ametamba kumsambalatisha Fadhili Majiha 'Stopper' katika raundi za awali za mpambano wao utakaofanyika siku ya jumamosi ya feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa mpambano huo wa raundi nane unasubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini ususani vitongoji vya Kinondoni, Manzese, mabibo na Mwananyamala ambapo ndio maeneo yao yenye wapenzi wao wa ngumi na sehermu mbalimbali
akizungumza na mwandishi wa habari hizi Miyeyusho...
10 years ago
Vijimambo14 Mar
NGUMI KUPIGWA JUMAPILI UWANJA WA NDANI WA TAIFA MABONDIA WAZIDUNDA KAVU KAVU
10 years ago
Vijimambo27 Feb
MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA FEB 28 UWANJA WA NDANI WA TAIFA JUMAMOSI
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ngumi za kufungulia mwaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Friends Corner Manzese Januari 2!!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mabondia Selemani Galile ‘Selemani Toll’ na Zumba Kukwe wanatarajia kuzidunda mwanzoni mwa mwezi ujao katika mpambano wa kufungulia mwaka 2016 kg 75. Mpambano utakaofanyika January 2/2016 ndani ya ukumbi wa Friends Corner, Manzese.
Mpambano huo ni wa kumaliza ubishi baada ya mpambano wao wa kwanza miaka mitatu nyuma kutoka droo ambapo kila bondia amejigamba kumsambaratisha mwenzie
Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa mpambano huo, Rajabu...
10 years ago
Vijimambo06 Dec
MASHINDANO YA WAZI YA UBINGWA WA TAIFA YANAVYO ENDELEA KATIKA UWANJA WA NDANI WA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-znlksAwEvUeAhs7Edq22BZ-8wLPXmFkVJwhNjYou7e3*AAw8svrVJagj3pgf0c6mu6eIdvE9sMW1SZSmVPiETQ/UPENDONKONE.jpg?width=650)
UPENDO NKONE AKITOA MATUMAINI NDANI YA UWANJA WA TAIFA
10 years ago
VijimamboMPAMBANO WA VICENT MBILINYI NA SAID MUNDI ULIVYOPIGWA UWANJA WA NDANI WA TAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U0g4sgDAb4A/XmO0FI77tqI/AAAAAAALhuc/dyNqqt-BbRQaeylENW4jBOhcQRj1StWfgCLcBGAsYHQ/s72-c/AB3.jpg)
KATIBU MKUU HABARI AAGIZA MAREKEBISHO UWANJA WA TAIFA NDANI YA SAA 12
![](https://1.bp.blogspot.com/-U0g4sgDAb4A/XmO0FI77tqI/AAAAAAALhuc/dyNqqt-BbRQaeylENW4jBOhcQRj1StWfgCLcBGAsYHQ/s640/AB3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/AB4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/AB2.jpg)
Na Mwandishi Wetu
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi amewaagiza maafisa wa Wizara yake kusimamia haraka mmarekebisho ya eneo mojawapo la benchi la wachezaji wa akiba kwenye Uwanja Mkuu wa Taifa Dar es Salaam baada ya kutoridhishwa na hali ya paa la benchi hilo.
Dkt. Abbasi aliyefika kukagua uwanja huo leo Jumamosi, uwanja utakaotumika kwa mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga kesho Jumapili, ameeleza kuridhishwa na maandalizi ya uwanja huo lakini...
11 years ago
GPLNIGHT OF HOPE 2014: WANANCHI WAKIMIMINIKA NDANI YA UWANJA WA TAIFA MUDA HUU