Rick Ross adaiwa kuiba gari la mke wake
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, William Roberts ‘Rick Ross, amekanusha kuhusika katika wizi wa gari ya mke wake aina ya BMW B7 lililokuwa likitumiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka 9.
Msanii huyo na mke wake, Tia Kemp, walilinunua gari hilo kwa ajili ya mtoto wao kwenda nalo shule, lakini mara kwa mara Rick Ross alikuwa akipenda kulitumia kitendo kilichokuwa kikizua ugomvi kati yao wa mara kwa mara.
Mwishoni mwa wiki iliyopita gari hilo lilipotea katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Sep
Rick Ross amchumbia girlfriend wake Lira Mercer
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mganga wa kienyeji adaiwa kuiba gari
MGANGA wa kienyeji, Yahaya Michael (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya wizi wa gari.
9 years ago
Global Publishers24 Dec
50 Cent amshitaki Rick Ross kwa kutumia beat ya wimbo wake
Curtis James Jackson III ’50 Cent’.
Mwanamuziki wa Hip Hop nchini Marekani, Curtis James Jackson III ’50 Cent’ amemfungulia mashitaka Rapa
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’ kwa kurap kupitia beat ya wimbo wake wa “In Da Club” wakati akiipigia promo albamu yake mpya ya Black Market.
William Leonard Roberts II ‘Rick Ross’.
50 amefungua shauri hilo Connecticut, Marekani na katika viambatanisho vya kesi hiyo anasema
wimbo wake umetumiwa na Rick Ross katika mixtape yake iitwayo ‘Renzel...
9 years ago
Bongo507 Oct
Rick Ross aeleza jinsi alivyomvisha pete ‘kibabe’ mchumba wake bila kupiga goti
9 years ago
Bongo512 Nov
Rick Ross na mchumba wake Lira Galore wadaiwa kurudiana, mashabiki wanahisi ilikuwa ni ‘Kiki’
![rozay n lira](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rozay-n-lira-300x194.jpg)
Wiki iliyopita zilienea taarifa za kuvunjika kwa uchumba kati ya Rick Ross na Lira Galore, baada Lira kuonekana akitoka nyumbani kwa rapper huyo akiwa hajavaa pete ya uchumba, na baadae Rozay naye alipost video Snapchat akiwa ameshikilia pete hiyo kitu kilichotoa uthibitisho kuwa huenda kweli uchumba umevunjika.
Lira ambaye aliwahi kuwa stripper jana amepost video mpya kwenye akaunti yake ya Snapchat ambayo inaonesha amevaa pete ile ile, na hakuwa peke yake, alikuwa na Rozay ambaye...
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: Rick Ross amtumia mchumba wake Lira Galore kwenye video mpya ‘Sorry’
![rick-ross-sorry-video](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rick-ross-sorry-video-300x194.jpg)
Rick Ross ameachia video ya wimbo wake ‘Sorry’ aliomshirikisha Chris Brown ambao ulitoka mwezi uliopita.
Kwenye video hiyo Rozay amemtumia mchumba wake Lira Galore kama video model, ikiwa ni siku moja tu imepita toka rapper huyo apost video kwenye mtandao wa Snapchat ikimuonesha yuko na Lira ambaye alionekana amevaa pete ya uchumba aliyovishwa na Rozay, siku chache toka zisambae taarifa kuwa wawili hao wameachana na Lira karudisha pete.
‘Sorry’ ni wimbo wa kwanza kutoka kwenye album mpya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCja4h4Kbyt3*oJGvWbX2k7qVlKduiNgIUPLjgIrWGoXcsmcP2n3KJHCUU9b7Zgo8gdEh0MhH*tHStRQoHAAba0u/biharusi.jpg?width=650)
MUME ADAIWA KUUZA KABURI LA MKE WAKE
9 years ago
Bongo519 Nov
Video: Rick Ross – 2 Shots
![rick-ross-2-shots](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rick-ross-2-shots-300x194.jpg)
While he counts down to the Dec. 4 release of Black Market, Rick Ross keeps dropping videos off his September mixtape Black Dollar. The showy clip finds Renzel reveling in his riches as a sexy lady (not his fiancée Lira Galore) struts around his palatial estate. The MMG mogul flaunts his Rich Forever yacht, diamond watches, and stacks of cash, and raps in front of the Brooklyn Bridge.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Rick Ross, Lira warudiana
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa hip hop nchini Marekani, Rick Ross na mpenzi wake, Lira Galore, wamerudiana baada ya kuachana kwa muda mrefu.
Mrembo huyo mwishoni mwa wiki iliyopita aliweka picha kwenye akaunti yake ya Instagram, ambayo inaonesha wakiwa pamoja na Rick Ross.
“Kila kitu kipo sawa,” aliandika mrembo huyo kwenye akaunti hiyo. Hata hivyo, mrembo huyo alikanusha uvumi wa kwamba alikuwa anatoka na mpenzi wa zamani wa Amber Rose, Wizkhalifa.
“Amber Rose ni rafiki yangu wa karibu,...