Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumekubali kuandikiwa katiba kibabe?

WATANZANIA haijulikani kama ni waoga au wajinga kwa sababu wamekuwa wenye kukubali kila kitu halafu mwishowe wanabaki kunung’unika wakati uwezo wa kuchukua hatua stahiki wanao. Ukisoma sura ya pili ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tumekubali kuliondoa soka mtaani

Tanzania ilikuwa ni michezo mbalimbali katika makabila yetu kabla ya kuja kwa wakoloni.

 

11 years ago

Habarileo

Tweet bora za Dk Mengi kuandikiwa kitabu

KITABU kitakachokuwa na mawazo yaliyoshinda kwenye shindano la tweet na Mengi kinaandikwa ili kuwapa fursa Watanzania kusoma na kuyatumia mawazo hayo bora ili kuweza kutambua fursa zilizopo zitakazowawezesha kujiajiri.

 

9 years ago

Bongo5

Drake azungumzia tetesi za kuandikiwa mashairi kwa mara ya kwanza

Drake ameamua kuvunja ukimya wake kwa kufanya mahojiano ya kwanza katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Rapper huyo amekava jarida la The Fader toleo la 100. Kwenye mahojiano hayo, Drake amezungumzia tetesi za kuandikiwa maishari, beef yake na Meek Mill na mengine. Kuhusu kuandikiwa mashairi alisema: Nahitaji wakati mwingine, watu kuchochea wazo ili niendelee nalo. […]

 

11 years ago

Mwananchi

Esther Bulaya apinga uamuzi wa kibabe

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Esther Bulaya, amesema uamuzi wa kibabe ndani ya Bunge hilo la kihistoria hautasaidia kuleta maridhiano na umoja wa kitaifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamsimika ‘mwenyekiti’ wao kibabe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana nchini, ulitawaliwa na vituko katika sehemu nyingi, lakini kikubwa ni kile kilichotokea katika Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara baada ya wananchi kumweka madarakani na kumwingiza ofisini Joshua Kuney (CCM) kuwa mwenyekiti wa kijiji hicho, badala ya Mbuki Mollel aliyeteuliwa na chama hicho kuwania nafasi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chenge ahofiwa kuliongoza Bunge kibabe

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuonyesha wasiwasi wao kuwa iwapo Andrew Chenge atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kudumu mijadala ya Katiba itaendeshwa kimizengwe. Wakizungunza kwa nyakati tofauti...

 

5 years ago

Michuzi

Parimatch yafanya maboresho, yaja kibabe na mfumo mpya

Na Zainab Nyamka, Michuzi TV
Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao na watanzania kiujumla wanaopenda kubashiri kujumuika pamoja.
Wateja wa Parimatch watacheza kwa pamoja michezo yote ya Simulated Reality League, E-Sports, masumbwi na soka ambayo inatarajiwa kurejea Mei 16 ikianza na Ligi ya Ujerumani ‘Bundesliga,’ kwa  kutumia intaneti kidogo.
Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa...

 

5 years ago

Michuzi

UVUMILIVU WA SIMBACHAWENE, DK MWIGULU NA REKODI ZAO ZA KIBABE KWENYE SERIKALI YA MAGUFULI


Charles James, Michuzi TV

UNAMUELEWA Rais Dk John Magufuli?. Mimi namuelewa sana. Rais mchapakazi, asiye na utani, mwenye hofu na Mungu. Zaidi anafuata kanuni ya samehe mara saba sabini. Utanielewa tu.

Sogea hapa: Katika kitabu cha 48 Laws of Power kilichoandikiwa na Gwiji, Robert Greene, Sheria namba moja inasema, " Never Outshine your Master"

Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba, "Usijifanye unajua kuliko Kiongozi/Bosi wako. Hata kama kweli unajua zaidi yake, usioneshe hilo hadharani. Onesha utii...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani