Tumekubali kuandikiwa katiba kibabe?
WATANZANIA haijulikani kama ni waoga au wajinga kwa sababu wamekuwa wenye kukubali kila kitu halafu mwishowe wanabaki kunung’unika wakati uwezo wa kuchukua hatua stahiki wanao. Ukisoma sura ya pili ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Tumekubali kuliondoa soka mtaani
11 years ago
Habarileo16 Apr
Tweet bora za Dk Mengi kuandikiwa kitabu
KITABU kitakachokuwa na mawazo yaliyoshinda kwenye shindano la tweet na Mengi kinaandikwa ili kuwapa fursa Watanzania kusoma na kuyatumia mawazo hayo bora ili kuweza kutambua fursa zilizopo zitakazowawezesha kujiajiri.
9 years ago
Bongo525 Sep
Drake azungumzia tetesi za kuandikiwa mashairi kwa mara ya kwanza
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Esther Bulaya apinga uamuzi wa kibabe
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Wananchi wamsimika ‘mwenyekiti’ wao kibabe
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Chenge ahofiwa kuliongoza Bunge kibabe
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kuonyesha wasiwasi wao kuwa iwapo Andrew Chenge atachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kudumu mijadala ya Katiba itaendeshwa kimizengwe. Wakizungunza kwa nyakati tofauti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zrhD-iWoNww/XrUcElozVTI/AAAAAAALpdk/5RZluMF7s-EBk4-9dqGbe2biNoB2Xm9LgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200508-WA0010.jpg)
Parimatch yafanya maboresho, yaja kibabe na mfumo mpya
Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao na watanzania kiujumla wanaopenda kubashiri kujumuika pamoja.
Wateja wa Parimatch watacheza kwa pamoja michezo yote ya Simulated Reality League, E-Sports, masumbwi na soka ambayo inatarajiwa kurejea Mei 16 ikianza na Ligi ya Ujerumani ‘Bundesliga,’ kwa kutumia intaneti kidogo.
Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0-6X4oChS7g/XrEIk9qX77I/AAAAAAALpJ0/ADO6rs0CwT4-bDtCKNW_bE5GfjLRaapxgCLcBGAsYHQ/s72-c/a9e0f8ca-fe70-40e8-b7fc-2b512295427e.jpg)
UVUMILIVU WA SIMBACHAWENE, DK MWIGULU NA REKODI ZAO ZA KIBABE KWENYE SERIKALI YA MAGUFULI
Charles James, Michuzi TV
UNAMUELEWA Rais Dk John Magufuli?. Mimi namuelewa sana. Rais mchapakazi, asiye na utani, mwenye hofu na Mungu. Zaidi anafuata kanuni ya samehe mara saba sabini. Utanielewa tu.
Sogea hapa: Katika kitabu cha 48 Laws of Power kilichoandikiwa na Gwiji, Robert Greene, Sheria namba moja inasema, " Never Outshine your Master"
Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba, "Usijifanye unajua kuliko Kiongozi/Bosi wako. Hata kama kweli unajua zaidi yake, usioneshe hilo hadharani. Onesha utii...
9 years ago
Bongo517 Oct
Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya