UVUMILIVU WA SIMBACHAWENE, DK MWIGULU NA REKODI ZAO ZA KIBABE KWENYE SERIKALI YA MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0-6X4oChS7g/XrEIk9qX77I/AAAAAAALpJ0/ADO6rs0CwT4-bDtCKNW_bE5GfjLRaapxgCLcBGAsYHQ/s72-c/a9e0f8ca-fe70-40e8-b7fc-2b512295427e.jpg)
Charles James, Michuzi TV
UNAMUELEWA Rais Dk John Magufuli?. Mimi namuelewa sana. Rais mchapakazi, asiye na utani, mwenye hofu na Mungu. Zaidi anafuata kanuni ya samehe mara saba sabini. Utanielewa tu.
Sogea hapa: Katika kitabu cha 48 Laws of Power kilichoandikiwa na Gwiji, Robert Greene, Sheria namba moja inasema, " Never Outshine your Master"
Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba, "Usijifanye unajua kuliko Kiongozi/Bosi wako. Hata kama kweli unajua zaidi yake, usioneshe hilo hadharani. Onesha utii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P6PJiMWrs3U/XomGHMmzRXI/AAAAAAALmCo/kDYoZq0RDGIwqC7_lNHxyCoHwuNuDD4jACLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
MANENO MATATU YA KIBABE YA MAGUFULI KATIKATI YA GONJWA LA VIRUSI VYA CORONA...ACHA KABISA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P6PJiMWrs3U/XomGHMmzRXI/AAAAAAALmCo/kDYoZq0RDGIwqC7_lNHxyCoHwuNuDD4jACLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
RAIS Dk. John Magufuli hakika wewe ndio Rais wangu na ndio Rais wa Watanzania wote.Hilo halina ubishi na ukiona kuna mtu anabisha ujue atakuwa na mtindio wa akili.
Kwanza mtu wa aina hiyo unamuangalia kwa kejeli halafu unamcheka kwa dharau.Potelea mbali acha akajifunze. Rais wangu Dk.Magufuli hakika Mwenyezi Mungu ametupa wewe ni zawadi kwetu Watanzania.Tutakulinda kama mboni ya jicho.Tutakutetea panapostahili kukutetea, tutakupigania pale tunapostahili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200601_093825_8.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KULIINGIZA ZAO LA PILI PILI KICHAA KWENYE MAZAO YA KIMKAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ktj3NBDBVTo/XucMFeOszMI/AAAAAAALt2I/98MQlk8TrboItq72uQPGxKsmCobzmmyOQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_093825_8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-025CVN0La2s/XucMFO-PJNI/AAAAAAALt2E/CKwzyR6TMfMJ_69ZshTr-Xrp1HMmGX0JQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200601_094835_0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Edogs1OgGQ/XucMGJETrfI/AAAAAAALt2Q/xmvNR2vB1KA72YDWw2jwe7ue6tyrMH2cwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_122200_7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L9zD5RFzrYE/XucMGb8yo9I/AAAAAAALt2U/KHURMuwcLAs3XQvoavMKAbeuCfIa92O7ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200607_125938_2.jpg)
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Wachina na rekodi zao, cheki na smartphone inayokaa chaji siku 15.. (+Video)
Mawasiliano muhimu sana mtu wangu, ndio maana watu wengi wanaona umuhimu wa kuwa na smartphone ili mawasiliano ya njia nyingi yaweze kumfikia. Wataalam wa mambo wakaingia kazini na kubuni kitu kinaitwa powerbank… ambayo kama smartphone yako ikiisha chaji basi hiyo inakusaidia uendelee kubaki hewani, lakini simu+powerbank ni sawa na mizigo miwili ya kubeba mkononi, usijali… Wachina […]
The post Wachina na rekodi zao, cheki na smartphone inayokaa chaji siku 15.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TASWIRA,WAKAZI WA MEATU WALIVYOTOA HISIA ZAO KWA MWIGULU HII LEO ASUBUHI
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10412004_320970088105226_1031506155742008659_n.jpg?oh=2fda4430f0da12b0db38fdc81ea0e45f&oe=550811C0)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10407823_320970231438545_329675611837839121_n.jpg?oh=52cc47c0dc051b7e7b68230e5802ae04&oe=550719C7&__gda__=1425926030_50f6ee5b889334a23270048a9c272c8e)
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/1558501_320970274771874_2299597896817030127_n.jpg?oh=6b271520fd33a27e4a53709ff9abbe98&oe=5507E1BA&__gda__=1430634631_99950049876296141a9e8de3a665210d)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10429352_320970414771860_5396356687723862500_n.jpg?oh=0f2a054e561bd5a8b0771661969bd259&oe=55476A40)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10439494_320970324771869_5890798777481089380_n.jpg?oh=d40da2faa504f66a557b473c9b08ea67&oe=55149496&__gda__=1430529319_f8dd0d696b63b5d84742daa18334e18b)
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10441035_320970368105198_4327699698485445088_n.jpg?oh=00ca8b1a2c942114ba6d0c4e18dad9b5&oe=550F9DB8)
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/1937441_320970478105187_5838894816390767449_n.jpg?oh=87f045cb17bb65d78712236c00cc29c3&oe=550E3161)
9 years ago
Habarileo09 Sep
Magufuli aweka rekodi
MAELFU ya watu wanaokwenda katika mikutano ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli imeanza kusimamisha shughuli za miji mbalimbali anayokwenda.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
9 years ago
Habarileo18 Oct
Dk Magufuli aweka rekodi Mwanza
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amefanya mkutano mkubwa na wa kihistoria katika Jiji la Mwanza na kuahidi kuubadilisha mji huo kuwa mithili ya ule wa Geneva wa nchini Uswisi.