Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachina na rekodi zao, cheki na smartphone inayokaa chaji siku 15.. (+Video)

Mawasiliano muhimu sana mtu wangu, ndio maana watu wengi wanaona umuhimu wa kuwa na smartphone ili mawasiliano ya njia nyingi yaweze kumfikia. Wataalam wa mambo wakaingia kazini na kubuni kitu kinaitwa powerbank… ambayo kama smartphone yako ikiisha chaji basi hiyo inakusaidia uendelee kubaki hewani, lakini simu+powerbank ni sawa na mizigo miwili ya kubeba mkononi, usijali… Wachina […]

The post Wachina na rekodi zao, cheki na smartphone inayokaa chaji siku 15.. (+Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

UVUMILIVU WA SIMBACHAWENE, DK MWIGULU NA REKODI ZAO ZA KIBABE KWENYE SERIKALI YA MAGUFULI


Charles James, Michuzi TV

UNAMUELEWA Rais Dk John Magufuli?. Mimi namuelewa sana. Rais mchapakazi, asiye na utani, mwenye hofu na Mungu. Zaidi anafuata kanuni ya samehe mara saba sabini. Utanielewa tu.

Sogea hapa: Katika kitabu cha 48 Laws of Power kilichoandikiwa na Gwiji, Robert Greene, Sheria namba moja inasema, " Never Outshine your Master"

Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba, "Usijifanye unajua kuliko Kiongozi/Bosi wako. Hata kama kweli unajua zaidi yake, usioneshe hilo hadharani. Onesha utii...

 

9 years ago

Mwananchi

JPM aweka rekodi ya siku 25 ya mawaziri

Rais John Pombe Magufuli amekuwa wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi kuanza nchini kutumia muda mrefu kutangaza Baraza la Mawazi kutokana na kile wasomi, wachambuzi wa siasa kusema pengine anapata wakati mgumu kupata mawaziri watakaoendana na kasi yake.

 

9 years ago

MillardAyo

Uhondo wa Kombe la Mapinduzi 2016, cheki video ya Mtibwa wakiwaadhibu Mafunzo …

Michezo ya Kombe la Mapinduzi iliendelea na ikafika time ya klabu ya Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani ilicheza mchezo wake wa pili wa Kundi B dhidi ya timu ya Mafunzo, Mtibwa walifanikiwa kupata goli la mapema tu dakika ya 12 kupitia kwa mshambulaiji wa zamani wa Yanga anayeichezea klabu hiyo kwa sasa Said Bahanuzi. Hii […]

The post Uhondo wa Kombe la Mapinduzi 2016, cheki video ya Mtibwa wakiwaadhibu Mafunzo … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video)

Moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa watu wake kujiua Korea nayo ipo… zinatrajwa sababu mbalimnbali za watu kuamua kujiua ikiwemo ishu ya msongo wa mawazo au stress !! Umewahi kupatwa msongo wa mawazo ??!! Ilipokutokea hali hiyo uliamua nini ?? Nakusogezea hii kutoka Korea Kusini ambako unaambiwa wao wameona moja ya mbinu poa za kupunguza […]

The post Kulala kwenye jeneza eti inapunguza stress ??!! Cheki na hii ya Wakorea.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kuifanya simu yako idumu na chaji muda mrefu

Ujio wa matumizi ya simu za kisasa maarufu kwa jina la Smartphone umewafanya Watanzania wengi kuzinunua, kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa mawasiliano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani