Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumekubali kuliondoa soka mtaani

Tanzania ilikuwa ni michezo mbalimbali katika makabila yetu kabla ya kuja kwa wakoloni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Timu ya watoto wa mtaani kutoka Tanzania iliyoibuka mabingwa wa dunia katika mchezo wa soka yapokewa kishujaa

Afisa Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Frank Shija akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wachezaji wa timu ya watoto wa mitaani    Mwenyekiti wa Timu ya watoto wa mitaani ya jijini Mwanza Alfat Mansoor (Dogo) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya timu hiyo kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jijini Dar es Salaam.  Mchezaji aliyesabibisha timu ya watoto wa mitaani kutoka Tanzania kuibuka mabingwa wa Dunia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumekubali kuandikiwa katiba kibabe?

WATANZANIA haijulikani kama ni waoga au wajinga kwa sababu wamekuwa wenye kukubali kila kitu halafu mwishowe wanabaki kunung’unika wakati uwezo wa kuchukua hatua stahiki wanao. Ukisoma sura ya pili ya...

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA WAMUNZI MAREHEMU OMARY CHANGA KWA BONANZA LA SOKA

Wadau mbali mbali wa mchezi wa Soka jijini Dar es Salaam,leo wamekutana pamoja kwenye viwanja vya Tabata Shule katika Bonanza la kumuenzi Marehemu Omary Changa (pichani) aliyewahi kuwa Mchezaji katika timu za Yanga,JKT Ruvu,Kagera Suger pamoja na Moro United aliefariki dunia mwezi uliopita.Bonanza hilo limefanyika maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuisaidia familia ya Marehemu Changa ikiwa ni pamoja na kuweza kufanikisha kisomo cha Arobaini yake.  Mshambuliaji wa Pembeni wa timu ya...

 

10 years ago

GPL

GPL MTAANI

Dereva bodaboda akiwa amebeba mzigo na abiria akiwa ameukalia wakiwa katika mwendo kasi. Baadhi ya wakazi wa Kibamba CCM wakitaza bomba kubwa…

 

9 years ago

Mtanzania

Kikwete aingia mtaani

MTZ jmosi new july.indd*Afanya ‘shopping’ Mlimani City

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KWA mara ya kwanza tangu aondoke madarakani mwanzoni mwa mwezi huu, jana Rais Jakaya Kikwete alionekana akifanya manunuzi katika maduka yaliyopo jengo la Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kikwete, ambaye alikuwa amevalia suti maarufu kama ‘kaunda suti’ yenye rangi nyeusi, alionekana akiingia katika viunga vya Mlimani City saa 5:00.

MTANZANIA Jumamosi ambalo lilikuwepo katika viunga hivyo vya Mlimani City lilishuhudia Kikwete...

 

9 years ago

GPL

MTAANI KWETU KIMENUKA!

Waswahili siku hizi wana neno lao utasikia ‘kimenuka’, ukisikia hilo ujue mambo yamekaa fyongo, basi hapa mtaani kwetu habari ndiyo hiyo. Uchaguzi ndiyo huo unakuja, homa inazidi kupanda, bendera za kila rangi zinaongezeka, maspika yanaongezeka nguvu, kila upande unaelezea jinsi utakavyoboresha maisha yetu, na hicho ndicho wananchi tunachokitaka. Ishu hapa ni kupata viongozi watakaotuletea maendeleo na kuboresha hali tuliyo...

 

10 years ago

GPL

KAMERA YA GPL MTAANI

Jamaa akiwa kaning’inia nyuma ya daladala.…

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani