Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bulaya shuns Bunda contest

Anxiety has gripped Bunda town since Sunday after outspoken Special Seats MP Esther Bulaya, who had earlier said she would seek CCM endorsement to vie for the Bunda Urban seat, announced in her facebook account that she has changed her mind and contest for Bunge via the Opposition.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Tanzania

Bulaya alikoroga Bunda

UAMUZI wa vikao vya juu vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwapitisha wagombea ubunge bila ridhaa ya wanachama huenda ikaathiri mwenendo wa uchaguzi katika Jimbo la Bunda.

Taarifa kutoka jimboni humo zinasema kwamba uteuzi wa Esther Bulaya aliyeanguka kwenye kura za maoni jimboni humo, umekipasua chama hicho baada ya viongozi wote wa juu jimboni humo kusimamishwa kazi na baadaye kutangaza kuachia madaraka.

Esther alikuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) kabla ya kuamua...

 

9 years ago

StarTV

Chadema yapasuka Bunda, kisa Bulaya

KARIBU robo tatu ya viongozi wakuu wa Chadema wilayani hapa, walijiuzulu nyadhifa zao jana na kutangaza kuhamishia nguvu zao kwa mgombea ubunge wa CCM, Stephen Wasira. Wamedai wanafanya hivyo kutokana na kukerwa na kitendo cha makao makuu ya Chadema, kumpitisha Esther Bulaya kuwa mgombea ubunge jimboni humo, licha ya kuwa alishika nafasi ya tatu katika kura za maoni.

Bulaya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), alihamia Chadema hivi karibuni na moja kwa moja kwenda kujaribu siasa za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yawaanika Wassira, Bulaya Bunda

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira jimboni kwake Bunda na kuwaeleza wananchi namna alivyo kigeugeu na mbadhirifu wa...

 

10 years ago

Daily News

28 aspirants to contest Bunda seats


28 aspirants to contest Bunda seats
Daily News
A TOTAL of 28 CCM parliamentary aspirants will contest for Bunda Urban and Bunda Rural constituencies, it has been disclosed here. According to CCM District Secretary, Ms Margareth Mtatiro, 12 aspirants will contest for Bunda Urban constituency, ...

 

10 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA


Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda  baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.Bulaya...

 

10 years ago

TheCitizen

When society shuns a mother’s love for her son

I think we underestimate the things a mother is willing to do for her  child. Scientists attribute this devotion to the bonding that takes place before and after birth which is stimulated by the release of the hormones;  oxytocin and prolactin.

 

10 years ago

Daily News

Another Escrow beneficiary shuns leadership ethics body


IPPmedia
Another Escrow beneficiary shuns leadership ethics body
Daily News
SENIOR government officials accused of violating leadership ethics on Friday continued challenging jurisdiction of the Public Leadership Ethics Council to entertain complaints relating to contravention of ethical codes of conduct. This comes after a move by ...
Court order bars TRA officer grilling on EscrowIPPmedia

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Bulaya amvaa Wassira

Siku moja baada ya Steven Wassira kutangaza nia ya kutetea ubunge wa Jimbo la Bunda mwakani, Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amesema anashangaa kuona mwanasiasa huyo mkongwe anaweweseka kwa kutojua ni nafasi ipi anaitaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani