Mashahidi wanne kumkabili Mbasha
KESI ya kubaka inayomkabili mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32), inatarajiwa kusikilizwa Agosti 22, mwaka huu, baada ya upelelezi kukamilika.. Hatua hiyo inakuja baada ya mshitakiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha. Waandishi wetu OHOOO! Kimenuka tena. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwanaye mdogo (jina linahifadhiwa) hahusiani hata kidogo na aliyekuwa mumewe, Emmanuel Mbasha huku akidai kuwa anamtambua mwanaume huyo kama mzazi mwenzake kwa mtoto mmoja tu (Liz), Risasi Jumatano linakupa zaidi. Mtoto anayedaiwa kuibuwa mazito. Akizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-aEGBszvWfgk/VFqC8Mm9NHI/AAAAAAAArmc/Z7_QVP0NEL8/s1600/JK%2B3.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, MAKATIBU WAKUU WANNE
MAKATIBU WAKUU WA WIZARA  Rais…
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Tutahama tukilipwa fidia — Mashahidi
WANANCHI 43 wa vijiji vya Kiding’a, Moivo, Kirevi, Sambasha na Kiranyi, wilayani Arumeru wamesema wapo tayari kupisha ujenzi wa barabara ya Mianzini hadi Timbolo yenye umbali wa kilomita nane endapo...
11 years ago
Mwananchi11 May
Mashahidi wazidi kumbana Ekelege
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Apolonaria Tereke ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa aliyekukwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Charles Ekelege alikuwa akitoa misamaha ya tozo bila ridhaa ya bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo.
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
ICC kushurutisha mashahidi kutoa ushahidi
Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC, inawataka mashahidi waliokataa kutoa ushahidi katika kesi dhidi ya naibu rais wa Kenya William Ruto kutoa ushahidi huo.
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
ICC:Yebei alikuwa akiwahonga mashahidi
Mtu aliyepatikana amefariki nchini Kenya na ambaye alihusishwa na kesi ya naibu rais wa Kenya William alikuwa akiwahonga mashahidi
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Wakenya 2 ICC kwa kuhonga mashahidi
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC imechapisha waranti ya kuwakamata wakenya wawili wanaotuhumiwa kutoa rushwa ili kuwashawishi mashahidi.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Mashahidi zaidi kumtetea Oscar Pistorius
Jopo la utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius limeitisha mashahidi zaidi
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Pistorius:Mashahidi walikataa kutoa ushahidi
Baadhi ya mashahidi katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, walikataa kutoa ushahidi kwa hofu ya kuonekana hadharani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania