Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutahama tukilipwa fidia — Mashahidi

WANANCHI 43 wa vijiji vya Kiding’a, Moivo, Kirevi, Sambasha na Kiranyi, wilayani Arumeru wamesema wapo tayari kupisha ujenzi wa barabara ya Mianzini hadi Timbolo yenye umbali wa kilomita nane endapo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kusimamia Haki ya Fidia kwa wafanyakazi

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, Masha Mshomba, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo barabara ya Bagamoyyo jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 2015. Mfuko huo ulioanzishwa kwa sheria ya bunge namba 20 kifungu cha 5 ya mwaka 2008, una madhumuni ya kutoa fidia kwa Wafanyakazi kutokana na ulemavu au vifo viinavyosababishwa na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi sambamba na kukuza mbinu za kuzuia matukio ya ajali, alisema. (Picha na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashahidi wazidi kumbana Ekelege

 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Apolonaria Tereke ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa aliyekukwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Charles Ekelege alikuwa akitoa misamaha ya tozo bila ridhaa ya bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashahidi wanne kumkabili Mbasha

KESI ya kubaka inayomkabili mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32), inatarajiwa kusikilizwa Agosti 22, mwaka huu, baada ya upelelezi kukamilika.. Hatua hiyo inakuja baada ya mshitakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mashahidi 15 kupanda kizimbani kumbana Minja

Dodoma. Serikali imeandaa zaidi ya mashahidi 15 kwa ajili ya kutoa ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya 2 ICC kwa kuhonga mashahidi

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC imechapisha waranti ya kuwakamata wakenya wawili wanaotuhumiwa kutoa rushwa ili kuwashawishi mashahidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Mashahidi walikataa kutoa ushahidi

Baadhi ya mashahidi katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, walikataa kutoa ushahidi kwa hofu ya kuonekana hadharani.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC kushurutisha mashahidi kutoa ushahidi

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC, inawataka mashahidi waliokataa kutoa ushahidi katika kesi dhidi ya naibu rais wa Kenya William Ruto kutoa ushahidi huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashahidi zaidi kumtetea Oscar Pistorius

Jopo la utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius limeitisha mashahidi zaidi

 

10 years ago

Habarileo

Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani