ICC kushurutisha mashahidi kutoa ushahidi
Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC, inawataka mashahidi waliokataa kutoa ushahidi katika kesi dhidi ya naibu rais wa Kenya William Ruto kutoa ushahidi huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Pistorius:Mashahidi walikataa kutoa ushahidi
Baadhi ya mashahidi katika kesi inayomkabili Oscar Pistorius, walikataa kutoa ushahidi kwa hofu ya kuonekana hadharani.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mashahidi 50 kutoa ushahidi mauaji ya bilionea Msuya
Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mererani, Erasto Msuya litawekwa hadharani wiki ijayo wakati mashahidi 50 wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mashahidi kesi ya mauaji ya Msuya waanza kutoa ushahidi
Upande wa mashahidi katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa madini wa Mererani, Erasto Msuya umeanza kutoa ushahidi wao jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PheqtEYh_6Y/XujSw9KputI/AAAAAAALuEc/NzOuqZIwDuoLvf3xIbY9etWsDeOOff-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.18.35%2BPM.jpeg)
MASHAHIDI 28 KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI INAYOMKABILI MTUHUMIWA ANAYEDAIWA KUMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA NA MAGUNIA MAWILI YA MKAA
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV .
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa...
JUMLA ya mashahidi 28 akiwemo Mtaalamu kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Hadija Mwema wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said Luongo (38) anayedaiwa kumuua mke wake kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa.
Mbali na mashahidi hao, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa...
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''
Mahakama ya ICC inadai kuwa shahidi aliyeuawa aliwahonga mashahidi wengine. Na Emmanul Igunza
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
ICC:Yebei alikuwa akiwahonga mashahidi
Mtu aliyepatikana amefariki nchini Kenya na ambaye alihusishwa na kesi ya naibu rais wa Kenya William alikuwa akiwahonga mashahidi
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Wakenya 2 ICC kwa kuhonga mashahidi
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC imechapisha waranti ya kuwakamata wakenya wawili wanaotuhumiwa kutoa rushwa ili kuwashawishi mashahidi.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
'ICC haina ushahidi dhidi ya Kenyatta?'
Mwendesha mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameomba majaji kuahirisha kesi dhidi ya Rais Kenyatta kwa miezi 3 kutokana na ukosefu wa ushahidi
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
ICC:Tuna ushahidi dhidi ya Ntaganda
Mahakama ya kimataifa ya ICC imesema imepata ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka mbabe wa kivita wa DRC Bosco Ntaganda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania