Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashahidi wazidi kumbana Ekelege

 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Apolonaria Tereke ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa aliyekukwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Charles Ekelege alikuwa akitoa misamaha ya tozo bila ridhaa ya bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mashahidi 15 kupanda kizimbani kumbana Minja

Dodoma. Serikali imeandaa zaidi ya mashahidi 15 kwa ajili ya kutoa ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DPP azidi kumbana Ponda

UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitupe ombi la Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda la kuitaka itoe amri ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana aagiza wananchi kumbana mwenyekiti wao

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameuagiza uongozi na wananchi wa wilayani hapa mkoani Manyara kumbana Mwenyekiti wa Chadema wa wilaya, Augustino Mayomba anayedaiwa kumiliki hati ya mkataba wa mnara wa simu wa Vodacom uliopo Kijiji cha Bassotu.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa azidi kumbana Kikwete achukue hatua dhidi ya Prof Muhongo

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amesema Rais Jakaya Kikwete asitumie kivuli cha mapumziko ya sikukuu kuchukua uamuzi dhidi ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo anayehusika katika kashfa ya fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow ya Sh306 bilioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ekelege akaangwa mahakamani

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo,...

 

10 years ago

IPPmedia

Court imprisons Ekelege for three years


IPPmedia
Court imprisons Ekelege for three years
IPPmedia
Former Director of Tanzania Bureau of Standards Charles Ekelege (R) chats with an unidentified person at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. Former Director General of the Tanzania Bureau of Standards (TBS), Charles Ekelege, ...
Ex-TBS CEO Jailed Three Years for Abuse of PowerAllAfrica.com

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Ekelege kuendelea leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeiahirisha kesi Mkurugenzi   Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege hadi leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mrithi wa Ekelege ‘amkaanga’ kortini

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Charles Ekelege ulikiuka kanuni za fedha.

 

11 years ago

Habarileo

Takukuru yambana Ekelege kortini

OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani