Mashahidi wazidi kumbana Ekelege
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Apolonaria Tereke ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa aliyekukwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Charles Ekelege alikuwa akitoa misamaha ya tozo bila ridhaa ya bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 May
Mashahidi 15 kupanda kizimbani kumbana Minja
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
DPP azidi kumbana Ponda
UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitupe ombi la Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda la kuitaka itoe amri ya...
11 years ago
Mwananchi30 May
Kinana aagiza wananchi kumbana mwenyekiti wao
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Dk Slaa azidi kumbana Kikwete achukue hatua dhidi ya Prof Muhongo
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Ekelege akaangwa mahakamani
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo,...
10 years ago
IPPmedia29 Aug
Court imprisons Ekelege for three years
IPPmedia
IPPmedia
Former Director of Tanzania Bureau of Standards Charles Ekelege (R) chats with an unidentified person at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. Former Director General of the Tanzania Bureau of Standards (TBS), Charles Ekelege, ...
Ex-TBS CEO Jailed Three Years for Abuse of PowerAllAfrica.com
all 2
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kesi ya Ekelege kuendelea leo
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Mrithi wa Ekelege ‘amkaanga’ kortini
11 years ago
Habarileo14 May
Takukuru yambana Ekelege kortini
OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.