Takukuru yambana Ekelege kortini
OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Mrithi wa Ekelege ‘amkaanga’ kortini
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Takukuru yamburuza kortini mbunge wa E.A
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Takukuru yambwaga Jaji Jonathan kortini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI AFISA BIASHARA SIMANJIRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s200/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu washtakiwa hao walisomewa mashtaka hayo na wakili wa TAKUKURU...
5 years ago
MichuziTAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAMBURUZA KORTINI DAKTARI KWA TUHUMA YA RUSHWA
Na Godwin Myovela, Singida.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoa wa Singida imemburuza mahakamani Dkt. Abdul Sewando wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida (Mandewa) akituhumiwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya Mwaka 2007.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana kwenye ofisi za PCCB, Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI MWENYEKITI WA SOKO KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa Takukuru mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu, Juni 9 mwaka huu, Songelaeli ameshtakiwa kwa kosa la kutoa rushwa ya shilingi 407,000 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Yefred...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
CHADEMA yambana JK
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka serikali ya Rais Jakaya Kikwete kutoa majibu ya maswali yaliyoulizwa na mwandishi wa gazeti la Daily Mail la nchini Uingereza kwa vielelezo, badala...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Serikali ya Magufuli yambana Zari
Zarinah Hassan ‘Zari’.
HAPA Kazi Tu! Serikali ya Rais Dk. John Pombe Magufuli inazidi kuwanyoosha wakwepa kodi na sasa zamu ya utumbuaji majipu imemshukia Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tifah, kwa kutaka asiandae tamasha kama lile la Zari All White Party lililofanyika mwaka jana kufuatia kukiuka baadhi ya masharti yanayoendana na ukusanyaji wa mapato ya serikali kupitia matamasha ya sanaa ya muziki.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mama Tiffah ametakiwa kutofanya shoo kama ile kutokana na ile ya...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Ekelege akaangwa mahakamani
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo,...