Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrithi wa Ekelege ‘amkaanga’ kortini

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Charles Ekelege ulikiuka kanuni za fedha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Takukuru yambana Ekelege kortini

OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahidi ‘amkaanga’ hakimu mahakamani

Shahidi wa kwanza katika kesi ya kuomba na kupokea rushwa inayomkabili Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Buguruni, Grace Kivelege na Karani wake, Rose Kuhima ameiambia mahakama kuwa karani wa mahakama hiyo alizificha fedha alizopewa na mtoa taarifa nyuma ya kabati ndani ya ofisi yake.

 

10 years ago

Mtanzania

CAG Utouh amkaanga Muhongo

2 CAG (kushoto akifafanua) na (kulia) MhandoMSIMAMO wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wa kukataa kuwajibika baada ya kuhusishwa na kashfa ya ukwapuaji wa Sh bilioni 300 zilizokuwa zimehifadhiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow, sasa umeanza kutafasiriwa kuwa ni ung’ang’anizi wa madaraka.
Tafasiri hii imeanza kutolewa sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja tangu Bunge la Jamhuri lilipopitisha maazimio nane yanayotakiwa kufanyiwa kazi na Serikali baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya Escrow, likiwemo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim  Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ekelege akaangwa mahakamani

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashahidi wazidi kumbana Ekelege

 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Apolonaria Tereke ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa aliyekukwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Charles Ekelege alikuwa akitoa misamaha ya tozo bila ridhaa ya bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Ekelege kuendelea leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeiahirisha kesi Mkurugenzi   Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege hadi leo.

 

10 years ago

IPPmedia

Court imprisons Ekelege for three years


IPPmedia
Court imprisons Ekelege for three years
IPPmedia
Former Director of Tanzania Bureau of Standards Charles Ekelege (R) chats with an unidentified person at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. Former Director General of the Tanzania Bureau of Standards (TBS), Charles Ekelege, ...
Ex-TBS CEO Jailed Three Years for Abuse of PowerAllAfrica.com

all 2

 

11 years ago

TheCitizen

Acting TBS chief testifies against Ekelege

The Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday heard that the Tanzania Bureau of Standards (TBS) executive council had never discussed about a 50 per cent waiver in administration fees for two companies.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani