Mrithi wa Ekelege ‘amkaanga’ kortini
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Charles Ekelege ulikiuka kanuni za fedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 May
Takukuru yambana Ekelege kortini
OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Shahidi ‘amkaanga’ hakimu mahakamani
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CAG Utouh amkaanga Muhongo
MSIMAMO wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wa kukataa kuwajibika baada ya kuhusishwa na kashfa ya ukwapuaji wa Sh bilioni 300 zilizokuwa zimehifadhiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow, sasa umeanza kutafasiriwa kuwa ni ung’ang’anizi wa madaraka.
Tafasiri hii imeanza kutolewa sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja tangu Bunge la Jamhuri lilipopitisha maazimio nane yanayotakiwa kufanyiwa kazi na Serikali baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya Escrow, likiwemo la...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Ekelege akaangwa mahakamani
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo,...
11 years ago
Mwananchi11 May
Mashahidi wazidi kumbana Ekelege
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kesi ya Ekelege kuendelea leo
10 years ago
IPPmedia29 Aug
Court imprisons Ekelege for three years
IPPmedia
Court imprisons Ekelege for three years
IPPmedia
Former Director of Tanzania Bureau of Standards Charles Ekelege (R) chats with an unidentified person at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. Former Director General of the Tanzania Bureau of Standards (TBS), Charles Ekelege, ...
Ex-TBS CEO Jailed Three Years for Abuse of PowerAllAfrica.com
all 2
11 years ago
TheCitizen06 Feb
Acting TBS chief testifies against Ekelege