Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi13 Sep
UVCCM YAMVAA MAALIM SEIF.
Imemtaka awe muungwana na msemakweli kuhusu mafanikio yaliyofikiwa ingawa yeye binafsi na chama chake wamekuwa wakichukia hilo.
Pia imemtaka kutoudanganya umma kwa madai atamudu kuwapa ajira vijana Wanzibari wote katika kipindi...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
UVCCM wamkabili Maalim Seif
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewataka viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), waache kuzungumzia kesi zilizoko mahakani. Umesema kuwa kuzungumzia kesi inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Serikali ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
UVCCM: Maalim Seif amepauka kisiasa
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, umesema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amepauka kisiasa. UVCCM imemtaka kiongozi huyo aachane na ageukie kazi za uvuvi...
10 years ago
Habarileo17 Oct
UVCCM wataka Maalim Seif na wenzake wapuuzwe
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) amewataka wananchi kupuuza na kutowasikiliza wanasiasa wapotoshaji wa mambo akiwemo Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, badala yake waisome kwa utulivu, umakini na kuzingatia Katiba Inayopendekezwa.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA KUWANIA NAFASI YA KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF
![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JlF5HB_U_gY/U3_R-3wEE4I/AAAAAAAFksI/0YXGvznddmc/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-boB3ySG_qXs/U3_R_Oqet_I/AAAAAAAFksE/dguPD8w66Ow/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif