Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM: Maalim Seif amepauka kisiasa

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, umesema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amepauka kisiasa. UVCCM imemtaka kiongozi huyo aachane na ageukie kazi za uvuvi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF NA MKWAMO WA KISIASA ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waandishin wa Habari katika ofisi za CUF Mtendeni kuhusiana na maendeleo ya “mkwamo” wa kisiasa Zanzibar. Picha na Salmin Said, OMKR
Na Hassan Hamad (OMKR)Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema jitihada za kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na tamko la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bw. Jecha Salim Jecha baada ya kutangaza kufuta uchaguzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UVCCM wamkabili Maalim Seif

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewataka viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), waache kuzungumzia kesi zilizoko mahakani. Umesema kuwa kuzungumzia kesi inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Serikali ya...

 

9 years ago

Michuzi

UVCCM YAMVAA MAALIM SEIF.

UMOJA wa Vijana Chama Cha Mapinduzi umemtaka Katibu Mkuu wa CUF na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad kuacha kuupotosha umma na kubeza mafanikio yaliyopatikana chini ya serikali ya umoja wa kitaifa inayoongozwa na Rais Dk Ali Mohamed Shein. 
Imemtaka awe muungwana na msemakweli kuhusu mafanikio yaliyofikiwa ingawa yeye binafsi na chama chake wamekuwa wakichukia hilo.
Pia imemtaka kutoudanganya umma kwa madai atamudu kuwapa ajira vijana Wanzibari wote katika kipindi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim  Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM wataka Maalim Seif na wenzake wapuuzwe

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) amewataka wananchi kupuuza na kutowasikiliza wanasiasa wapotoshaji wa mambo akiwemo Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, badala yake waisome kwa utulivu, umakini na kuzingatia Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi Seif amponda Maalim Seif

>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Seif Idd ametangaza vita kwa mtu yeyote anayepanga njama za kuvuruga mchakato wa Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Msihofu

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaambia watumishi wa umma kuwa kura watakazopiga kwenye Uchaguzi Mkuu ni za siri na hivyo Serikali haitajua wamepigia chama gani.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Maalim Seif ni Popo’

maalim seif sharif hamad

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF), amemshambulia kwa maneno Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad, huku akimfananisha na popo.

Mbunge huyo alisema hayo baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema lengo ni kujibu mashambulizi yaliyoelezwa kwake na...

 

9 years ago

Mwananchi

JK akutana na Maalim Seif

Rais Jakaya Kikwete jana alikutana kwa saa moja na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuzungumzia hali ya kisiasa Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani