UVCCM wamkabili Maalim Seif
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umewataka viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), waache kuzungumzia kesi zilizoko mahakani. Umesema kuwa kuzungumzia kesi inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Serikali ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi13 Sep
UVCCM YAMVAA MAALIM SEIF.
Imemtaka awe muungwana na msemakweli kuhusu mafanikio yaliyofikiwa ingawa yeye binafsi na chama chake wamekuwa wakichukia hilo.
Pia imemtaka kutoudanganya umma kwa madai atamudu kuwapa ajira vijana Wanzibari wote katika kipindi...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
UVCCM: Maalim Seif amepauka kisiasa
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar, umesema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amepauka kisiasa. UVCCM imemtaka kiongozi huyo aachane na ageukie kazi za uvuvi...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Katibu UVCCM amkaanga Maalim Seif
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar umekitaka Chama cha Wananchi (CUF) kuwa jasiri kwa kumtaka Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad, ajiuzulu. Kauli...
10 years ago
Habarileo17 Oct
UVCCM wataka Maalim Seif na wenzake wapuuzwe
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) amewataka wananchi kupuuza na kutowasikiliza wanasiasa wapotoshaji wa mambo akiwemo Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, badala yake waisome kwa utulivu, umakini na kuzingatia Katiba Inayopendekezwa.
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
10 years ago
Mtanzania09 Sep
‘Maalim Seif ni Popo’
![maalim seif sharif hamad](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/maalim-seif-sharif-hamad.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF), amemshambulia kwa maneno Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Maalim Seif Sharif Hamad, huku akimfananisha na popo.
Mbunge huyo alisema hayo baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema lengo ni kujibu mashambulizi yaliyoelezwa kwake na...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Maalim Seif: Sawasawa
Na Waandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimezindua kampeni za Urais Zanzibar kwa kishindo huku mgombea wake, Maalimu Seif Sharif Hamad, akiahidi ajira kwa Wanzibari wote ndani ya miaka mitano na kubadilisha uchumi wa nchi hiyo kuwa imara kama ule wa Singapore.
Akizungumza na maelfu ya wananchi wa visiwa hivyo waliojitokeza jana kwenye uwanja wa Kibanda Maiti Unguja, Maalim Seif alisema endapo atapatiwa ridhaa ya kuongeza nchi, atapigania pia mamlaka kamili ya Zanzibar ikiwa ni...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Maalim Seif: Msihofu
9 years ago
Mwananchi05 Nov
JK akutana na Maalim Seif