Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ekelege akaangwa mahakamani

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Shy-Rose akaangwa

HOJA binafsi ya kumjadili mbunge Shy-Rose Bhanji wa Tanzania ndani ya Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limeingia katika sura mpya baada bunge hilo kuahirishwa tena jana muda mfupi...

 

10 years ago

Habarileo

DC akaangwa Tume ya Maadili

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Anna Mwalende ameanika mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma ushahidi wake dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba na kueleza namna alivyodhalilishwa na kunyanyaswa pamoja na viongozi wengine.

 

11 years ago

Mwananchi

Maalim Seif akaangwa bungeni

Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamemshambulia vikali Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad wakimtuhumu kwamba anafanya njama za kuua Muungano.

 

10 years ago

IPPmedia

Court imprisons Ekelege for three years


IPPmedia
Court imprisons Ekelege for three years
IPPmedia
Former Director of Tanzania Bureau of Standards Charles Ekelege (R) chats with an unidentified person at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. Former Director General of the Tanzania Bureau of Standards (TBS), Charles Ekelege, ...
Ex-TBS CEO Jailed Three Years for Abuse of PowerAllAfrica.com

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Mashahidi wazidi kumbana Ekelege

 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Apolonaria Tereke ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa aliyekukwa Mkurugenzi wa shirika hilo, Charles Ekelege alikuwa akitoa misamaha ya tozo bila ridhaa ya bodi ya wakurugenzi wa shirika hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Ekelege kuendelea leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeiahirisha kesi Mkurugenzi   Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege hadi leo.

 

11 years ago

Habarileo

Takukuru yambana Ekelege kortini

OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.

 

11 years ago

Mwananchi

Mrithi wa Ekelege ‘amkaanga’ kortini

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa msamaha uliotolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Charles Ekelege ulikiuka kanuni za fedha.

 

11 years ago

TheCitizen

Acting TBS chief testifies against Ekelege

The Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday heard that the Tanzania Bureau of Standards (TBS) executive council had never discussed about a 50 per cent waiver in administration fees for two companies.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani