CHADEMA yambana JK
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka serikali ya Rais Jakaya Kikwete kutoa majibu ya maswali yaliyoulizwa na mwandishi wa gazeti la Daily Mail la nchini Uingereza kwa vielelezo, badala...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Serikali ya Magufuli yambana Zari
Zarinah Hassan ‘Zari’.
HAPA Kazi Tu! Serikali ya Rais Dk. John Pombe Magufuli inazidi kuwanyoosha wakwepa kodi na sasa zamu ya utumbuaji majipu imemshukia Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tifah, kwa kutaka asiandae tamasha kama lile la Zari All White Party lililofanyika mwaka jana kufuatia kukiuka baadhi ya masharti yanayoendana na ukusanyaji wa mapato ya serikali kupitia matamasha ya sanaa ya muziki.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, mama Tiffah ametakiwa kutofanya shoo kama ile kutokana na ile ya...
11 years ago
Habarileo14 May
Takukuru yambana Ekelege kortini
OFISA Uchunguzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Thadei Nzalalila, ameieleza Mahakama kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege alikiri kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili.
11 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA


