Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AG, Kubenea sasa waitwa mahakamani

Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetoa hati ya wito kwa pande zote, mlalamikaji na mlalamikiwa katika kesi ya mamlaka ya Bunge la Katiba ikiwataka kufika mahakamani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kubenea apandishwa Mahakamani leo

said1Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea.

Baada ya taflani iliyotokea jana Jumatatu kati ya mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea wa Chadema na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda eneo la viwanda (EPZA) Mabibo jijini Dar hali iliyopelekea DC Makonda kuwaamuru polisi wamuweke chini ya ulinzi Saed Kubenea na kumpeleka Kituo cha Polisi. Leo Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Mwanasheria Mkuu amewasilisha Mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea

Na Mwene Said wa Blog ya Jamii
NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, leo amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya  Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na  Mwandishi wa Habari Said Kubenea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwamba maombi hayo ni batili kisheria na hayawezi kuthibitishwa mahakamani, hivyo yatupiliwe mbali.
Masaju amewasilisha pingamizi hilo akitoa sababu nne, akiitaka mahakama kutupilia mbali maombi yaliyopo...

 

10 years ago

Mtanzania

Makonda sasa kufikishwa mahakamani

makondaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ametangaza kumfikisha mahakamani Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, baada ya kushindwa kuomba radhi kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yao.
Guninita alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wake na waandishi wa habari,uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kuandikiwa barua Februari 12 mwaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz sasa akiri kosa mahakamani

Mwanamuziki Rashidi Abdallah Makwaro ‘Chid Benz’(29) amekiri mashtaka matatu yanayomabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kukutwa na dawa za kulevya, kifuu cha nazi na kijiko vinavyotumika kuvutia ama kunusa dawa hizo za kulevya.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga

Huku uongozi wa Yanga ukiendelea kumsaka mrithi wa Boniface Mkwasa aliyepewa kazi Taifa Stars, wanachama na mashabiki wa klabu hiyo wamependekeza aina gani ya kocha wanayeamini ataziba vyema nafasi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri, Busungu waitwa Stars

WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge waitwa kwa Dk Magufuli

Wabunge wote wateule, wametakiwa kufika Ofisi Ndogo ya Bunge Dar es Salaam, ili kushiriki hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule, Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliohitimu la 7 Vijibweni waitwa kuchukua vyeti

BAADA ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Vijibweni, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, Mathew Jasembe kutuhumiwa kupoteza vyeti vya wanafunzi 247 waliohitimu darasa la saba mwaka 2011...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani