Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliohitimu la 7 Vijibweni waitwa kuchukua vyeti

BAADA ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Vijibweni, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, Mathew Jasembe kutuhumiwa kupoteza vyeti vya wanafunzi 247 waliohitimu darasa la saba mwaka 2011...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI

Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda, Ageva Moses (kulia) baada ya kujifungua mtoto wa kiume wakati akiwa katika kituo cha kupokelea cheti cha uraia katika Kijiji cha Ifumbula wilayani humo. Licha ya maafisa wa Serikali pamoja na UNHCR kutoa maelekezo kuwa wagonjwa na wasiojiweza...

 

9 years ago

StarTV

Vijana waliohitimu VETA watakiwa kujiajiri

 

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya mafunzo na ufundi stadi VETA Kanda ya Magharibi Tabora Dokta Gerson Nyadzi amewataka vijana waliohitimu elimu ya ufundi kujiajiri badala ya kutegemea ajira rasmi ambayo kwa sasa ni finyu.

Wahitimu wa fani mbalimbali wa chuo cha ufundi stadi VETA mkoa wa Tabora wametakiwa kutekeleza lengo la Serikali la kuanzisha chuo hicho kwa kuitumia elimu waliyoipataka kujiajiri wenyewe ili kupambana na soko la ajira nchini.

Dr. Gerson Nyadzi ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...

 

10 years ago

StarTV

Waliohitimu JKT wahimizwa kuyatumia kwa manufaa ya taifa

Na Magesa Magesa

Arusha

 

Vijana wanaohitimu mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria wameaswa kuyatumia mafunzo wanayoyapata katika kambi mbalimbali hapa nchini kwa faida ya Taifa.

 

Hatua hii inaelezwa kuwa kama itazingatiwa na vijana wanaohitimu mafunzo ya muda mfupi ya JKT upo uwezekano mkubwa wa taifa kuwa na vijana ambao watakuwa waadilifu pindi watakapokuwa wakilitumikia taifa.

Akizungumza na wahitimu hao Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Ntibenda amewataka kuyatumia vizuri katika...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Serikali iwasikilize vijana hawa waliohitimu JKT

>Tumesikitishwa na nguvu zinazotumiwa na vyombo vya dola kuwadhibiti baadhi ya vijana waliomaliza mafunzo katika kambi za JKT hapa nchini.

 

10 years ago

Michuzi

NHIF yatoa msaada wa mashuka Hospitali ya Vijibweni

 Mkurugenzi wa Huduma za Matibabu Dk. Frank Lekey akikabidhi mashuka kwa Muuguzi wa Hospitali ya Vijibweni Maimuna Mwaya. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekabidhi jumla ya mashuka 150 katika Hospitali hiyo ambayo iilikuwa na uhaba mkubwa wa mashuka. Mganga Mfawidhi Emanuel Bwana akitandika kitanda kwa shula la NHIF ambalo ni moja ya mashuka yaliyokabidhiwa hospitalini hapo.  Mganga Mfawidhi Emanuel Bwana akielezea huduma zinazotolewa hospitalini hapo na kuushukuru Mfuko kwa msaada wa...

 

9 years ago

GPL

DK. FAUSTINE NDUGULILE AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI VIJIBWENI‏

  Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia CCM, Dk. Faustine Ndugulile akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Mzima uliopo Kata ya Vijibweni, Kigamboni jijini Dar es Salaam jana.  Wananchi wakifurahia alipokuwa akipanda jukwaani mgombe ubunge kupitia CCM, Dk. Faustine Ndugulile.…

 

11 years ago

Michuzi

KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA


Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.

ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997


Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,


Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo  sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...

 

10 years ago

Dewji Blog

TIPER yasaini makubaliano kuchangia vitabu vya masomo ya sayansi Shule ya Sekondari Vijibweni

TIPER PIX 2

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni inayoifadhi mafuta ya Tanzania, Tanzania International Petroleum Reserves Ltd (TIPER), Bw Daniel Belair, akikabidhi vitabu vya sayansi vikiwemo vya Fizikia, Baolojia na Kemia kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Vijibweni, Bw Itumbo Kinyonyi wakati wa sherehe ya kusaini makubaliano yatakayoiwezesha kampuni hiyo kuchangia vitabu 200 vyenye thamani ya Shilingi milioni nne kwa shule hiyo iliyopo eneo la Kigamboni wilaya ya Temeke. Shughuli hiyo ilifanyika jana katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani