Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanariadha wa Kenya alitumia dawa

Mwanaridha wa mbio za marathon raia wa Kenya Rita Jeptoo amegunduliwa kuwa alitumia dawa zinazosisimua misuli.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha wa kenya adaiwa kutumia dawa

Mwanariadha wa mbio za marathon kutoka kenya Rita Jeptoo amepatikana kuwa alitumia dawa za kusisimua misuli zilizopigwa marufuku

 

10 years ago

Mwananchi

Maajabu ya mwanariadha Hyvon Ngetich wa Kenya

“Nchi yangu haikunituma maili zaidi ya 5,000 kuanza mbio, bali ilinituma zaidi ya maili 5,000 kumaliza mbio,” hiyo ilikuwa ni kauli ya mwanariadha wa Tanzania, John Steven Akwari aliyoitoa mwaka 1968 baada ya kumaliza mbio za marathon katika michezo ya Olimpiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje

Aliyekua bingwa wa mbio za marathon nchini Kenya Wilson Kipsang ameachiliwa kwa dhamana baada ya kushtakiwa kwa kukiuka amri ya kutotoka nje

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Zuma alitumia pesa za umma

Taarifa iliyotolewa na tume ya kupambana na ufisadi, iliyowasilishwa na mratibu wa masuala ya umma, imemtuhumu rais Zuma kwa kutofuata maadili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania matatani kwa dawa za kulevya Kenya

WATANZANIA wanne wamekamatwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya. Polisi wa Kenya waliwakamata Watanzania hao juzi wakiwa na dawa aina ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha wa S Leone akamatwa UK

Mwanariadha wa mbio fupi kutoka Sierra Leone ambaye amekuwa akilala katika barabara za mji wa Uingereza huenda akafukuzwa

 

10 years ago

Mwananchi

Ni mwanariadha aliyeiteka dunia

Jina Dennis Kipruto Kimetto linaweza kuwa geni kwa wengi, lakini huyu ni mwanadamu wa aina yake katika riadha.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanariadha wa kike achumbia msichana

Mwanariadha maarufu wa kike nchini Afrika Kusini, Caster Semenya haishi kuandamwa na visa, wakati huu akidaiwa kwamba amejipatia mchumba wa kike.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha wa Sierra Leone hataishi Uingereza

Mwanariadha wa Sierra Leone ameelezwa kuwa hataishi Uingereza kwa kuwa hakidhi vigezo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani