Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKILIZA MAPIGO YA "DUNDIKA" NDANI YA ALBAMU YA "PIGA MOYO KONDE" KUTOKA KWA MSAANI ERICA


Msaani Erica Lulakwa ambaye kwa hivi sasa anaishi na kufanya shughuli za muziki nchini Marekani ameweza kutoa Albamu yake ya kwanza inayo kwenda kwa jina la  “PIGA MOYO KONDE.” Album ya Piga Moyo Konde  ilianza kupatikana rasmi mwezi wa Juni 30, 2015 na kuanza kupatika katika vianzo vya miziki kama Google Play na Itune. Baadhi ya nyimbo ambazo zimeshaanza kusikilizwa kwa wingi  duniani ni kibao cha “DUNDIKA” ambacho kina midundo ambayo inaendana na jina la wimbo wenyewe na utamu usio na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

introducing erica Lulakwa's New song Dundika.


Kwa maelezo zaidiFollow Erica Lulakwa:https://www.ericalulakwa.comhttps://www.instagram.com/ericalulakwahttps://twitter.com/ericalulakwahttps://www.facebook.com/EricaLulakwa

 

10 years ago

Dewji Blog

Listen to Erica Lulakwa’s Brand New Song “Dundika”

maxresdefault

Debut Album “Piga Moyo Konde” is out! On Itunes http://itunes.apple.com/album/id10046…

Dundika is the 2nd Song released from this Album. Listen free on Spotify and Tidal.
If you like the music, I would truly appreciate your support in writing a review or sharing links to iTunes or Google Play on social media.

Listen to her music on you tube below here.

Follow Erica Lulakwa:
https://www.ericalulakwa.com
https://www.instagram.com/ericalulakwa
https://twitter.com/ericalulakwa
...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIKILIZE MSAANI ERICA LULAKWA ALIVYOELEZA YOTE KATIKA KIPINDI CHA PAPASO.

Pichani mwimbaji maarufu wa muziki wa kizazi kipya "bongo flava" Erica Lulakwa ambaye anayeishi na kufanya kazi zake za muziki katika mji maarufu wa Los Angeles uliokuwepo katika jimbo la California nchini Marekani. Kwa habari zaidi na mawasiliano tembelea tovuti lake la http://www.ericalulakwa.com

Mahojiano ya msaani Erica alipotembelea Tanzania Broadcasting Cooperation (TBC) na kupata fursa ya kuzungumzia muziki wake na ujio wa album yake ya kwanza katika kipindi maarufu cha Papaso FM 1 & 2...

 

9 years ago

Mwananchi

Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya

Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo. Umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida.

 

9 years ago

Mwananchi

Mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida yanahatarisha uhai

Moyo wenye afya njema huweza kutoa mapigo ya moyo yaliyo katika mpangilio sawa ikiratibiwa na uwapo wa nguvu ya msukumo wa umeme maalumu.

 

9 years ago

Michuzi

Muhimbili yakabidhiwa msaada wa mashine za kufuatilia mapigo ya moyo na tasisi ya Human Welfare Trust

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa Mashine mbili  ambazo zitatumika kufuatilia mapigo ya moyo ya mgonjwa mahututi akiwa kwenye tiba ( Patient Cardiac monitors).  Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi mashine hizo ambazo zimetolewa na Mfuko wa Human Welfare Trust, Veena Joa,  amesema wataendelea kusaidia kutoa huduma mbalimbali kwakua Hopsitali ya Taifa Muhimbili inategemewa na wananchi wengi wana imani nayo.  Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Dkt....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani