Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida yanahatarisha uhai

Moyo wenye afya njema huweza kutoa mapigo ya moyo yaliyo katika mpangilio sawa ikiratibiwa na uwapo wa nguvu ya msukumo wa umeme maalumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya

Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo. Umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida.

 

10 years ago

Michuzi

Muhimbili yakabidhiwa msaada wa mashine za kufuatilia mapigo ya moyo na tasisi ya Human Welfare Trust

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa Mashine mbili  ambazo zitatumika kufuatilia mapigo ya moyo ya mgonjwa mahututi akiwa kwenye tiba ( Patient Cardiac monitors).  Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi mashine hizo ambazo zimetolewa na Mfuko wa Human Welfare Trust, Veena Joa,  amesema wataendelea kusaidia kutoa huduma mbalimbali kwakua Hopsitali ya Taifa Muhimbili inategemewa na wananchi wengi wana imani nayo.  Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Dkt....

 

10 years ago

Vijimambo

SIKILIZA MAPIGO YA "DUNDIKA" NDANI YA ALBAMU YA "PIGA MOYO KONDE" KUTOKA KWA MSAANI ERICA


Msaani Erica Lulakwa ambaye kwa hivi sasa anaishi na kufanya shughuli za muziki nchini Marekani ameweza kutoa Albamu yake ya kwanza inayo kwenda kwa jina la  “PIGA MOYO KONDE.” Album ya Piga Moyo Konde  ilianza kupatikana rasmi mwezi wa Juni 30, 2015 na kuanza kupatika katika vianzo vya miziki kama Google Play na Itune. Baadhi ya nyimbo ambazo zimeshaanza kusikilizwa kwa wingi  duniani ni kibao cha “DUNDIKA” ambacho kina midundo ambayo inaendana na jina la wimbo wenyewe na utamu usio na...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI

SERIKALI imetolea ufafanuzi wa kauli iliyotolewa na  baadhi ya Wananchi  wanaodai kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii imekuwa ikithamini uhai wa wanyamapori kuliko uhai wa binadamu.
 Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema  uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai  wa wanyamapori 
Amesema licha ya  kuwa  binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...

 

10 years ago

Raia Mwema

Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida

WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Makoti ya madaktari yanahatarisha afya za wagonjwa

>Historia inaonyesha kuwa madaktari walianza kuvaa makoti kama vazi la kazi takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia miaka ya 1800 hadi kufikia mwaka 1915 lilikuwa ni jambo la kawaida kwa daktari kuvaa koti anapowahudumia wagonjwa.

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto



Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani