Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAIDI YA DOLA BIL. 400 ZAPOTEA KUTOKANA NA UHALIFU MTANDAO

Pamoja na kua na ugumu wa kupata takwimu halisi za pesa zinazopotea kutokana na uhalifu mtandao, bado takwimu zimesisitizwa kutolewa kupitia ripoti ndogo ndogo zinazo andaliwa kwa ushirika wa makampuni ya usalama mitandao na hatimae ripoti ya pamoja (Kubwa).


Ripoti ndogo za awali tayari zimesha anza kutoka ,  hadi hivi sasa mbili kutoka MacAfee na pricewaterhousecoopers (PWC) zi mesha wekwa mitandaoni ilikutoa ruhusa kupitiwa na jamii mbali mbali huku ripoti nyingine zikiendelea...





Habari Zinazoendana

10 years ago

Ykileo

TANZANIA KUATHIRIKA ZAIDI NA UHALIFU MTANDAO.

Mazungumzo ya awali kabla ya mkutano wa wanausalama mitandao uliokamilika jijini Johannesburg nchini afrika kusiniyanaweza kusomeka kwa "KUBOFYA HAPA"  Mkutano ambao uliokua na vuta nikuvute kupata suluhu ya changamoto tulizo nazo za kiusalama mtandao duniani kote zinazoendelea kukua kila kukicha huku ikionekana dhahiri kabisa wahalifu mtandao wanaelekea kuzidi nguvu umekamilika jijini Johannesburg nchini Afrika kusini huku Tanzania ikiorodheshwa kua ya sita kwa nchi zinazotegemewa...

 

10 years ago

Ykileo

NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Ukipitia takwimu za mwaka huu na mwaka jana inaonyesha Nchi za Ulaya na Marekani zimeendelea kuathirika zaidi na uhalifu mtandao, Huku Nchi za mashariki ya kati kuonekana kunyemelewa na wahalifu mtandao. Wakati huo huo takwimu zilitabiria Nchi za Afrika  kuwa katika hali mbaya baadae kutokana na ukuaji wa kasi wa matumizi ya mitandao ambao hauendani sanjari na maandalizi madhubuti ya usalama wa mitandao.


Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10

hacker-downloading-information-off-a-computer

 

 

Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu. 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba  katika vyombo vya fedha kama  mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.

Polisi wa kikosi Maalum cha...

 

10 years ago

Vijimambo

NDANI YA KLABU YA YANGA, YADAIWA ZAIDI YA BILIONI MBILI ZAPOTEA KATIKA MAZINGIRA YA KIESCROW

Taarifa  zinadai ya kwamba zaidi ya shilingi bilioni mbili za klabu ya YANGA zimetafunwa na wajanja wasiojulikana mpaka sasa,Inasemekana ubadhirifu huo umefanyika na baadhi ya wafanyakazi waliomaliza muda wao hivi karibuni,
Baadhi ya majina ya wafanyakazi wa zamani wakiongozwa na aliyekuwa katibu mkuu wa klabu hiyo bwana Beno Njovu jana walipelekwa kituo cha polisi cha Central kuhojiwa kutokana na ubadhirifu huo.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya klabu hiyo kimesema zaidi ya bilioni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makandarasi waidai serikali bil. 400/-

CHAMA cha Makandarasi Tanzania (CATA) kinaidai serikali zaidi ya sh bilioni 400, hali inayosababisha utekelezaji wa miradi mbalimbali hususan ya barabara kutekelezwa kwa kasi ndogo, kusuasua ama kusimama kabisa. Katibu...

 

10 years ago

Michuzi

Dola za Marekani milioni 53.8 zapatikana kutokana na mauzo ya vito

 Na Greyson Mwase, Bagamoyo
Jumla ya Dola za Marekani  milioni 53.8  zilipatikana kutokana na mauzo ya vito mbalimbali ndani ya nchi  kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha  Uchambuzi na Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, (TANSORT) kilichopo chini ya Wizara  ya Nishati na Madini   Archard Kalugendo kwenye semina  iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda,  Afisa Madini Wakazi na  Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini inayoendelea Bagamoyo...

 

11 years ago

Ykileo

MJADALA: UHALIFU MTANDAO

Nikiwa na Mtangazaji maduhu mara baada ya mahojiano 2013 Kumekua na muendelezo wa mijadala mbali mbali situ nchini bali katika kila pande ya dunia kutokana na hali ya usalama mtandao inavyozidi kuingia dosari kila kukicha. Mijadala hiyo nchini Tanzania pia imeendelea kushika kasi.

 Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...

 

11 years ago

Ykileo

MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO

Mbali na midahalo, hatua mbali mbali za kukabiliana na uhalifu huu wa kimtandao kwa sasa kumekuja na kasi ya kukuza nguvu watu ili kuongeza nguvu ya kukabiliana na uhalifu huu wa mitandao kwenye taarifa ya "NSA-YA MAREKANI"  imeweza kubainisha jinsi taifa hilo linavyo ongeza mafunzo kwa vijana wapya na kuanzishwa program maalum katika vyuo ambapo gharama za mafunzo hayo kwa vijana zinakua ni za serikali.


Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...

 

11 years ago

Ykileo

JE WAJUA? : KESHO YA UHALIFU MTANDAO

Swala la uhalifu mtandao limezidi kutengeneza vichwa vya habari kila kukicha pakizingatiwa ukuwaji wa mbinu mpya za wahalifu mtandao zinazo wawezesha kufikia malengo ya kuleta athari kimtandao hivi leo. Wakati huo huo vita ya uhalifu mtanda imeendelea kwa kasi katika maeneo mbali mbali duniani.


Mijadala, maazimio mbali mbali pamoja na kupitishwa maamuzi yakua mwaka huu wa 2014 kua mwaka wa vitendo kukabiliana na uhalifu vimeenda sambamba na ukuwaji wa kasi wa uhalifu mtandao hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani