ZAIDI YA DOLA BIL. 400 ZAPOTEA KUTOKANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NTlPHcDOST0/U5lZMi2QwmI/AAAAAAAAAsM/vDWtwSq5TY8/s72-c/James-A.-Lewis-of-CSIS.jpg)
Pamoja na kua na ugumu wa kupata takwimu halisi za pesa zinazopotea kutokana na uhalifu mtandao, bado takwimu zimesisitizwa kutolewa kupitia ripoti ndogo ndogo zinazo andaliwa kwa ushirika wa makampuni ya usalama mitandao na hatimae ripoti ya pamoja (Kubwa).
Ripoti ndogo za awali tayari zimesha anza kutoka , hadi hivi sasa mbili kutoka MacAfee na pricewaterhousecoopers (PWC) zi mesha wekwa mitandaoni ilikutoa ruhusa kupitiwa na jamii mbali mbali huku ripoti nyingine zikiendelea...
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-IE698k5KzZs/VW6zwKYSUiI/AAAAAAAABcQ/Mecx-OAURbU/s72-c/M74A1496.jpg)
TANZANIA KUATHIRIKA ZAIDI NA UHALIFU MTANDAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IE698k5KzZs/VW6zwKYSUiI/AAAAAAAABcQ/Mecx-OAURbU/s200/M74A1496.jpg)
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s72-c/123.jpg)
NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s1600/123.jpg)
Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...
10 years ago
Vijimambo24 Dec
NDANI YA KLABU YA YANGA, YADAIWA ZAIDI YA BILIONI MBILI ZAPOTEA KATIKA MAZINGIRA YA KIESCROW
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/nji.png)
Baadhi ya majina ya wafanyakazi wa zamani wakiongozwa na aliyekuwa katibu mkuu wa klabu hiyo bwana Beno Njovu jana walipelekwa kituo cha polisi cha Central kuhojiwa kutokana na ubadhirifu huo.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya klabu hiyo kimesema zaidi ya bilioni...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Makandarasi waidai serikali bil. 400/-
CHAMA cha Makandarasi Tanzania (CATA) kinaidai serikali zaidi ya sh bilioni 400, hali inayosababisha utekelezaji wa miradi mbalimbali hususan ya barabara kutekelezwa kwa kasi ndogo, kusuasua ama kusimama kabisa. Katibu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s72-c/blogger-image--1359849879.jpg)
Dola za Marekani milioni 53.8 zapatikana kutokana na mauzo ya vito
![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s1600/blogger-image--1359849879.jpg)
Jumla ya Dola za Marekani milioni 53.8 zilipatikana kutokana na mauzo ya vito mbalimbali ndani ya nchi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uchambuzi na Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, (TANSORT) kilichopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini Archard Kalugendo kwenye semina iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda, Afisa Madini Wakazi na Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini inayoendelea Bagamoyo...
11 years ago
YkileoMJADALA: UHALIFU MTANDAO
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s72-c/1234567890.jpg)
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s1600/1234567890.jpg)
Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-wfkczx8Q6E0/U328MCKca_I/AAAAAAAAAio/rXocvruFyYE/s72-c/KILEO+BLOG+-+2.jpg)
JE WAJUA? : KESHO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-wfkczx8Q6E0/U328MCKca_I/AAAAAAAAAio/rXocvruFyYE/s1600/KILEO+BLOG+-+2.jpg)
Mijadala, maazimio mbali mbali pamoja na kupitishwa maamuzi yakua mwaka huu wa 2014 kua mwaka wa vitendo kukabiliana na uhalifu vimeenda sambamba na ukuwaji wa kasi wa uhalifu mtandao hivi...