MAONI: Uhalifu dhidi ya polisi usiachwe uzoeleke
>Usiku wa kuamkia jana, polisi wawili waliuawa kwa kupigwa risasi na kisha silaha zao kuporwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s72-c/YKL.jpg)
POLISI WA UNGANISHA NGUVU KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s1600/YKL.jpg)
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MAONI: Wananchi washiriki kumaliza uhalifu
>Mwishoni mwa wiki nchi imekumbwa na hofu kutokana na mapigano baina ya polisi wakisaidiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya makundi yanayodhaniwa kuwa ni ya ama ujambazi au kigaidi, huko eneo la Amboni na Mapango ya Amboni, Kitongoji cha Karasha mkoani Tanga.
11 years ago
Mwananchi30 Jul
MAONI: Tusiuchekee uhalifu, una madhara makubwa
>Ni dhahiri kwamba hali si shwati tena katika nchi yetu, kinyume na maneno au kauli nyingi ambazo zimekuwa zikitolewa hata na viongozi wetu wakiwamo wa kisiasa wa kuitaja Tanzania kuwa kisiwa cha amani, utulivu na mshikamano.
11 years ago
BBCSwahili08 May
Uhalifu dhidi ya binadamu Sudan Kusini
Amnesty International limetuhumu pande zote zinazozozana katika mgogoro wa kisiasa nchini Sudan Kusini kwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu
5 years ago
Ykileo![](https://1.bp.blogspot.com/-l-cJ7O7LxNw/WnP_HYJj43I/AAAAAAAACKg/egjLg6wvg4c1HQ_CvIx-xl0ewyP86IWmgCLcBGAs/s72-c/TUMIA.jpg)
ANGALIZO KWA MABENKI DHIDI YA UHALIFU WA ATM JACKPOTING
![](https://1.bp.blogspot.com/-l-cJ7O7LxNw/WnP_HYJj43I/AAAAAAAACKg/egjLg6wvg4c1HQ_CvIx-xl0ewyP86IWmgCLcBGAs/s640/TUMIA.jpg)
KWA UFUPI: ATM jackpotting imgonga Hodi Nchini Marekani ambapo imesababisha upotevu mkubwa wa fedha zinazo kadiriwa kuzidi kiasi cha Dola milioni moja hadi sasa.----------Kumekua na aina nyingi za uhalifu mtandao unaolenga mashine za ATM ambao umekua ukiathiri mabenki mengi maeneo mengi duniani.
Mataifa ya Afrika yamesha kumbwa na changamoto za uhalifu katika mashine za ATM kama vile “card skimming” ambapo wahalifu mtandao mara kadhaa wamekua wakiripotiwa kughushi kadi za ATM zilizopelekea...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s72-c/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s200/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s72-c/123.jpg)
NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s1600/123.jpg)
Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s72-c/index.jpg)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s640/index.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.
2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Uhalifu wa kimtandao waitesa Polisi
 Polisi nchini wamekiri kuzidiwa ujanja na wahalifu baada ya kubadili mbinu katika kufanya uhalifu huo pamoja na kuongezeka kwa makosa makubwa na madogo yanayofanywa kwa njia ya mtandao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania