Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tusiuchekee uhalifu, una madhara makubwa

>Ni dhahiri kwamba hali si shwati tena katika nchi yetu, kinyume na maneno au kauli nyingi ambazo zimekuwa zikitolewa hata na viongozi wetu wakiwamo wa kisiasa wa kuitaja Tanzania kuwa kisiwa cha amani, utulivu na mshikamano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uvivu una madhara gani kwa watoto?

Natumaini wajukuu zangu ni wazima wa afya, mkiwa bado baadhi yenu mnaendelea na mfungo wa Ramadhan. Leo wajukuu zangu nina mada nyepesi ambayo naamini inawagusa wengi.Kabla ya kuanza mada yetu ya leo ni vizuri tukafahamu maana ya uvivu.

 

10 years ago

Vijimambo

MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA MJI WA UNGUJA

Mvua zilizonyesha leo Zanzibar na kusababisha maruriko na kuwaweka watumiaji barabara kama inavyoonekana kwenye picha wakati mgumu.Waendesha ,agari nao wakipita kwa uangalifu mkubwa.Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji kutokana na mvua zilizonyesha leo Zanzibar.Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji.Mitaro ikiwa imejaa maji kutokana na mvua iliyonyesha leo Zanzibar.Maji kila sehemu kama unavyoonekana kwenye picha.Wananchi wakitafakali jambo ya jinsi gani yakufanya baada ya mvua iliyonyesha...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa

Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Wananchi washiriki kumaliza uhalifu

>Mwishoni mwa wiki nchi imekumbwa na hofu kutokana na mapigano baina ya polisi wakisaidiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) dhidi ya makundi yanayodhaniwa kuwa ni ya ama ujambazi au kigaidi, huko eneo la Amboni na Mapango ya Amboni, Kitongoji cha Karasha mkoani Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Uhalifu dhidi ya polisi usiachwe uzoeleke

>Usiku wa kuamkia jana, polisi wawili waliuawa kwa kupigwa risasi na kisha silaha zao kuporwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi.

 

10 years ago

Vijimambo

USIJISAHAU, UNA HAKI YA KUMPENDA, UNA HAKI YA KUMTOSA!

Hakuna ubishi mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammis, ukiwa naye unajiona ni mwenye bahati kwa faraja anayokupa, ni lazima utahisi umepungukiwa kitu muhimu.

Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisi. Kitu ambacho anaweza kuingiza usanii na mambo yakaenda. Hapa namaanisha hivi, mtaani kuna watu wa...

 

10 years ago

GPL

USIJISAHAU, UNA HAKI YA KUMPENDA, UNA HAKI YA KUMTOSA!

Hakuna ubishi mapenzi yanachukua nafasi kubwa katika maisha yetu. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammis, ukiwa naye unajiona ni mwenye bahati kwa faraja anayokupa, ni lazima utahisi umepungukiwa kitu muhimu. Lakini wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo wanaochukulia mapenzi kama kitu rahisi. Kitu ambacho anaweza kuingiza usanii...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani