Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yajipanga 2015

Pg 1Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JOTO la Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), limezidi kupamba moto, baada ya watendaji wa chama hicho na jumuiya zake ngazi ya mikoa kutakiwa kutoondoka katika vituo vyao vya kazi.
Mbali na hilo pia watendaji wa chama hicho ambao wamekwenda likizo wametakiwa kurejea katikia vituo vyao vya kazi hadi kufikia Februari 28, mwaka huu.
Hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM taifa, Abdulrahman Kinana, ambayo imeshusha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa marudio Zanzibar

Wakati kamati maalumu ya kutatua mkwamo wa kisiasa Zanzibar ikiendelea na mazungumzo, CCM imewataka wafuasi wake visiwani humo kujiandaa na Uchaguzi Mkuu wa marudio ili kukiletea chama hicho ushindi wa kishindo utakapofanyika.

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA MWENZA WA CCM SAMIAH SULUHU ANADI ILANI YA CCM MWAKA 2015 KATIKA KATA YA KYENGEGE,WILAYA YA IRAMBA

Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kwa Chama cha Mapinduzi Bi.Samia Suluh akisalimiana na Mh;Mwigulu Nchemba ambaye ni mgombea Ubunge jimbo la Iramba hii leo,Bi.Samiah suluhu katika ziara yake ya kampeni ndani ya mkoa wa Singida,hii leo amefika Kata ya Kyengege Jimbo la Iramba kwaajili ya kunadi Ilani ya CCM ya uchaguzi ya Mwaka 2015 na kuomba kura za kishindo kwa nafasi zote za Udiwani,Ubunge na Urais ifikapo Tar.25.10.2015
Bi.Samiah Suluhu ambaye ni Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni  Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).

2

 

10 years ago

Mwananchi

Siri nzito CCM 2015

Vikao vya Kamati Kuu ya CCM na Kamati Maalumu ya NEC Zanzibar vinaonekana kuwa huenda vikaiweka hadharani siri nzito za urais wa Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete CCM itakushinda 2015

MWAKA ujao ni wa Uchaguzi Mkuu wa rais na wabunge, uchaguzi huo utahitimisha kikatiba muda wa Rais Jakaya Kikwete ambaye atakuwa anamaliza ngwe yake ya pili ya miaka mitano baada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ahadi za JK zitaiponya CCM 2015?

NAKUAMKIA Rais wangu Jakaya Kikwete. Nakuamkia tena. Nimeamua nianze na salamu kwa mkuu wangu wa nchi. Leo nataka nikukumbushe mambo muhimu. Sikukumbushi safari zako za nje ya nchi. Tangu mwaka...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM should be nervous about 2015 election.

                                                              BY MOHAMED MATOPE

Last week I had a conversation with a longtime friend who supports Edward Lowasa. He’s in his 40s, resides in Dar-es-salaam, highly educated, and heads one of the largest commercial bank in the region. He voted for President Kikwete  in 2005 and was in fact the first person who alerted me to the breadth of his support. In 2010, he voted for President Kikwete, and opposition for MP and local Government leader.

So,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani