CCM yajipanga 2015
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JOTO la Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), limezidi kupamba moto, baada ya watendaji wa chama hicho na jumuiya zake ngazi ya mikoa kutakiwa kutoondoka katika vituo vyao vya kazi.
Mbali na hilo pia watendaji wa chama hicho ambao wamekwenda likizo wametakiwa kurejea katikia vituo vyao vya kazi hadi kufikia Februari 28, mwaka huu.
Hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM taifa, Abdulrahman Kinana, ambayo imeshusha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
9 years ago
Mwananchi28 Dec
CCM yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa marudio Zanzibar
9 years ago
Michuzi30 Aug
MGOMBEA MWENZA WA CCM SAMIAH SULUHU ANADI ILANI YA CCM MWAKA 2015 KATIKA KATA YA KYENGEGE,WILAYA YA IRAMBA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VHUbjDslBuVE2gAltUkkYrsJ4lKAWP0rpseRTiaAWgEbDDwSPTcn2j-YkfjIY5vvtMChACdir1h71dLURHHh7HjkwVgZW8K0lSFRZETVRkzKv7RO_x6qLb9d6r10RrFx9j4uAbBwHRZ5CQlEVGwo1ou3dtqCoftIWgXsAhLXV5Bz15tm9cmKR0fTqjPHTJEof4Dghps0ms-zataDjtf3KsSPbijPLX0JJrsO5Un2VF5ZMaKgk1lsMWwAsvGXQij2sigyoJ9jEXCJwASLMp-cmbK4TAxHnE7F_H-WErJcIFrKzCpUQy-FBFYVkmDX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/11923258_971530522909019_4441548453771867672_n.jpg?oh=17876588a3e6c8daa613e9cb724c2183&oe=5665378F&__gda__=1450162361_40222b815672b6ea61115438f8e1dc29)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0MJ6zhqkxdsKoRfwtburWfwub6VcXzDgv_ze_MjIk9RM8N3oF9ZZ0f7AxRNYjciyqpAOrL8X133klkZK2JycbM0XZM21ACtjGqvNFB8bURj9a3t5YOhxMQl2Q-unzYWis59CIH3St4RnDFPKsnMWvtalsBjBClFn7cE1nIR2Tz7RS0c4xua1pB1F0hudATTDgE6N9IQqzuB0kNfrqL1zWVHZIL1mfGWxlqIaXKU=s0-d-e1-ft#https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11904675_971530912908980_5205937262880160537_n.jpg?oh=a979cd598292289a807c3e63c56ebe26&oe=56761299)
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-k5h7FfvC13k/VM7ppSuj7_I/AAAAAAAAWn8/KWPRi_mFM64/s72-c/06.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KATIKA SHEREHE ZA KUTIMIZA MIAKA 38 YA CCM, KWENYE UWANJA WA MAJIMAJI, SONGEA - RUVUMA, TAREHE 01 FEBRUARI, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-k5h7FfvC13k/VM7ppSuj7_I/AAAAAAAAWn8/KWPRi_mFM64/s1600/06.jpg)
HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM TAIFA SIKU YA SHEREHE ZA KUZALIWA KWA CCM
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Siri nzito CCM 2015
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Kikwete CCM itakushinda 2015
MWAKA ujao ni wa Uchaguzi Mkuu wa rais na wabunge, uchaguzi huo utahitimisha kikatiba muda wa Rais Jakaya Kikwete ambaye atakuwa anamaliza ngwe yake ya pili ya miaka mitano baada...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Ahadi za JK zitaiponya CCM 2015?
NAKUAMKIA Rais wangu Jakaya Kikwete. Nakuamkia tena. Nimeamua nianze na salamu kwa mkuu wangu wa nchi. Leo nataka nikukumbushe mambo muhimu. Sikukumbushi safari zako za nje ya nchi. Tangu mwaka...
10 years ago
Vijimambo02 Aug
CCM should be nervous about 2015 election.