Ahadi za JK zitaiponya CCM 2015?
NAKUAMKIA Rais wangu Jakaya Kikwete. Nakuamkia tena. Nimeamua nianze na salamu kwa mkuu wangu wa nchi. Leo nataka nikukumbushe mambo muhimu. Sikukumbushi safari zako za nje ya nchi. Tangu mwaka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboHIZI NDIZO AHADI ZA CCM UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015
Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.
Ilani hiyo, iliyoandaliwa na makada wake 32 wakiongozwa na Stephen Wasira, imeanisha jinsi chama hicho kikongwe kilivyotekeleza baadhi ya ahadi zake katika ilani ya mwaka 2010-2015 na kutaja ahadi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ariyWCwqBYY/XueJmllh2vI/AAAAAAACNfs/2jm3cgb28UIEfRxy11-Y5DxJX793K4sAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200615_174257.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3-tMn9dIxv8/Xu7oiPcLLfI/AAAAAAACNxk/xygWFcGpoCcpKAPkfaNe5dEF2WsAiK-KACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE JIMBO LA CHALINZE 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-3-tMn9dIxv8/Xu7oiPcLLfI/AAAAAAACNxk/xygWFcGpoCcpKAPkfaNe5dEF2WsAiK-KACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mjVARgO858/Xu7oqL7NIzI/AAAAAAACNxo/ir1qEbAGfwcMPbWc1gnG5JmmTzLdi_I-ACLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_2020-06-20_232132.jpg)
Mwaka 1995 Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Gazeti lake la Serikali ilitangaza jimbo jipya
la Uchaguzi la Chalinze lenye Kata 15 katika Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Katika kipindi cha Miaka ishirini na mitano (25) toka kuanzish￾wa kwa jimbo hili la uchaguzi, tumeshuhudia maendeleo makubwa.
Pamoja na maendeleo yaliyopatikana katika kipindi hicho,...
5 years ago
CCM Blog29 May
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n-G_hE7QV8I/XucVCWmfiuI/AAAAAAACNeY/rt8-PqyI2fwfhXM80U3AA3gPZwkocjlYwCLcBGAsYHQ/s72-c/mlugo%2B1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tKm_fKrlxrk/XuZWqQGKreI/AAAAAAACNYE/JkK_Tcb91DQSClpUK4Litu4-L5nbYUXzgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_2020-06-14_171946.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE WA MBINGA MJINI SIXTUS MAPUNDA 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKm_fKrlxrk/XuZWqQGKreI/AAAAAAACNYE/JkK_Tcb91DQSClpUK4Litu4-L5nbYUXzgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_2020-06-14_171946.jpg)
Baada ya mbunge huyo Mh. Sixtus Mapunda kukaribia kuhitimisha miaka yake ya Ubunge katika jimbo hilo, yeye na timu yake wametayarisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM sambamba na...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Ahadi ya elimu bure ilivyokonga nyoyo za wengi 2015
Mwaka 2015 uko ukingoni kumalizika na 2016 unaingia. Kila mmoja anafanya hesabu ya mavuno katika kipindi hicho. Katika tathmini ya mchango wa sekta ya elimu mwaka huu, matukio kadhaa yamejiri, lakini mjadala wa ahadi ya elimu bure uliteka hisia za Watanzania wengi.
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ahadi za CCM Uchaguzi Mkuu
Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo.
10 years ago
Mwananchi17 Jun
SALAMU KUTOKA KWA MHARIRI :Ahadi yetu uchaguzi wa 2015
Ndani ya siku 131 kuanzia leo, Watanzania watakuwa wameingia katika shughuli ya kutekeleza wajibu wao kikatiba wa kuchagua madiwani, wabunge na muhimu sana, Rais wa tano tangu nchi yetu ya Tanzania ipate uhuru miaka 54 iliyopita.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania